lol bado nasita sita.....
hapo ndio pagumu.....
tatizo kwenye kusubiri majibu.......yaani unakumbuka ajali zote ulizofanya......ngoja nipate ushawishi nione kama nitakwenda.......ugumu unatoka wapi bana wewe?!.... wewe umeshaamua kuwa MUMIANI ni sharti nawe utoe damu siku moja walau basi ku-complete the circle....!!
jamani nimekata shauri nusu nusu ila bado sijaamua mazima....nataka kupima ngoma......nishaurini.....
mkuu kuuza timu basi unafikiri huwa napanga....najikuta tu nimeuza within 5 months nimeshauza timu mara 3 in different timu.....pamoja na kwamba sio vimeo saaana hizo timu
mkuu kuuza bana inatokea na kuna sehemu hata ukiwa full zana unauza tu.....check https://www.jamiiforums.com/416592-post10.htmlFantastic! within 5 months, timu imeuzwa mara 3, at different pitches!
Huwa unakuwa umelamba sana maji!? maana hiyo kusema ati huwa hupangi bali inatokea tu....
mkuu kuuza bana inatokea na kuna sehemu hata ukiwa full zana unauza tu.....check https://www.jamiiforums.com/416592-post10.html
mkuu kuuza bana inatokea na kuna sehemu hata ukiwa full zana unauza tu.....check https://www.jamiiforums.com/416592-post10.html
mkuu kuuza timu basi unafikiri huwa napanga....najikuta tu nimeuza within 5 months nimeshauza timu mara 3 in different timu.....pamoja na kwamba sio vimeo saaana hizo timu
nenda upime tu kisha usitake kujua majibu, hiyo pia inatosha.