B'REAL
JF-Expert Member
- Oct 20, 2010
- 4,279
- 2,733
mkuu kuna vitu inatakiwaa uwee na maamuzii ya nguvu,kunaa jamaa alitaka kuowa mtoto wa mwarabu,babaa mkwe akamwambia ishalla ila kimilaa lazima nikubokoe kwanza kwani we mswahili mwanangu mwarabu ndo milaa zetu,na sharti lapilii niletee kipande cha nnya yako,nakaushaa then nakuwa nachanganyaa na chai..utaweza masharti
Nataka kuoa watu wenye ethnic hizo mbili, sina sababu ila basi tu nataka kufanya vitu tofauti na wengine. Kama umo humu here is your chance don't let it pass you by