Nataka kuoa watu wenye ethnic hizo mbili, sina sababu ila basi tu nataka kufanya vitu tofauti na wengine. Kama umo humu here is your chance don't let it pass you by
Waarabu au Wahindi wanaokuja JF wala usiwahesabu kuwa Waarabu, kwanini haufungi safari tu ukaingia Dubai au Muscat au Egypt au India, unaoa unarudi, unahakikisha muarabu haswaaa au muhindi haswaaa.
Tanzania unaweza kulikuta toto jeupe ukafikiri la kihindi au la kiarabu kumbe mkorogo na nywele za kununuwa, siku hizi watu wana "chakachuwa" mpaka asili zao, kalagabaho.
Ushahidi huu hapa:
Dah mi nataka mwarabu wa kiukweli bhana sio kama wale wa kinyamwezi na kigigo sijui kisukumaKuwapata hawa watu ni very simple,nenda hapo Korogwe kuna kijiji kinaitwa makuyuni kipo barabarani,waarabu wapo wengi sana pale,hata old korogwe wapo wa kumwaga,shelui,Pia ukienda Nzega,jimboni kwa Rostam wapo wa kumwaga tuu,kazi kwako mkuu,tembelea hayo maeneo utakamata tuu wa kwako.
Nataka kuoa watu wenye ethnic hizo mbili, sina sababu ila basi tu nataka kufanya vitu tofauti na wengine. Kama umo humu here is your chance don't let it pass you by
Dah we kiboko mpaka na uthibitisho! Sa si itabidi nijifunze kihindi na kiarabu kwanza ndo niende maana............
Kwasababu wakiolewa wanakuwa very waaminifu kwa waume zao
Mkuu umeanza kunitamanisha na mimi
Usijali mdogo wangu kwangu atapatikana na muda wako ukifika atakuwepo tayari ntahakikisha hilokitambo sana nina ndoto za kuchukua mtoto wa kiarabu...muda wangu ukifika..nitafanya juu chini...akikosekana basi sio mbaya hata mswahili ambae ni mweupeee atanifaa
msimwangushe bro kama watoto wa kiarabu mpo jitokezeni basi,najua na mim nitaunganishiwa na shem wangu