Kumbe hakuna hata haja ya kwenda India, ni hapo Tanga tu! Binafsi kwa hapa TZ hii ni habari mpya kwangu. Nilifikiria India kwa SBB kule wapo hata omba omba, Kwa hiyo unaweza kuoa hata familia za chini lakini kwa huku Bongo familia nyingi za hawa jamaa wana uwezo kiuchumi na NAHISI wanaona kama ni kudhalilika kuolewa na MTZ! Ahsante mkuu kwa ushauri. Nitatembelea Tanga hivi karibuni!
HIVI, unataka kuona au kuishi na mwanamke tu? NDOA si mchezo bwana ile ni taasisi ambamo watu wawili wenye akili timamu na umri unaokubalika kisheria kuamua kwa hiari yao kuishi pamoja.... katika raha na tabu...
Nakushauri ukue kwanza...