<br />Ingia alafu mle mawe...lolz!!<br />
<br />
Seriously though...inabidi ujue mtaishije.Kama mwenzio mambo safi na ni mwelewa then labda mnaweza mkakubaliana (maana kusaidiana muhimu ) alafu kazi unaangalia mbele kwa mbele.Siku ukipata kazi unaanza kutimiza majukumu yako kikamilifu kama baba mwenye nyumba!!
On a more serious note inamaana mamilioni ya vijana wasio na ajira wasioe hadi watakapo ajiriwa? The society is surely headed for crisis.
Kuoa ni swala jingine, na kazi ni swala jingine. Oa mwende kijijini na mkeo mkajaribu ukulima. Kazi siyo lazima iwe ya kuajiriwa, unaweza kujiajiri.Wana FJ nataka kuoa lakin cjapata kazi bdo mnaniambiaje niingie hafu kitaeleweka humohumo!!.
<br />Mkuu Please nakushauri tafuta kazi kwanza jiwekeze ndo UOE, hatutaki tena urudi hapa uanze kuomba ushauri mara ooh kakugeuka. Nakuomba sana pata kazi chukua km miaka minne ndo uoe, Ndoa si kufanya mapenzi tu kaka ohoooooooooo
<br />anything which does not kill you,will makes you stronger...............
Lakini si umeelewa anachomaanisha? tatizo letu waswahili tunakosoana sana, ndio maana tunaona aibu hata kujifunza coz tutachekwaWill makes???? Shule za kayumba nazo!!!<br />
<br />
Kweli kabisa atafute kazi kwanza kuoa utaoa tu, maana kama huna kazi hata hiyo harusi unategemea ufanyiwe kila kitu?Kaka ushauri wangu wewe pambana kusaka kipato kwa njia halali, kuna alternatives nyingi ikiwemo ajira/biashara/kujiajili. ukishaona unaweza kujimudu wewe mwenyewe na vijicent vinabaki, basi hapo ndo ufkirie kumtafuta mwenzio au kumrasimisha aliyepo. Tatizo dada zetu kwa asilimia kubwa sana sio wavumilivu, na usije ukajichanganya ukawa na fikra kwamba kwakuwa mwenziwako ana kazi basi muungane then utafute kazi wakati anakulisha ndani ya hiyo ndoa mnayotaka kuifunga. kaka hakuna rangi utaacha kuona........ jipange tu maisha hayaishii kesho. usije ukaharakisha kuingia na matokeo yake ukajikuta unawahi kutoka mwenyewe...
Will makes???? Shule za kayumba nazo!!!<br />
<br />