BUCHANAGANDE
JF-Expert Member
- Sep 8, 2011
- 1,513
- 474
Wana JF wenzangu, naomba mnisaidie kuhusu hili linalonikabili
Nina rafiki yangu MWENYE UMRI WA MIAKA 25 (AMEMALIZA CHUO KIKUU, 2011) Yeye ni wa Imani tofauti na yangu lakini nimempenda na nimedhamilia kuishi naye kama my wife lakini tatizo kubwa kwake ni kwamba HATAKI kubadili IMANI yake mpaka hapo nitakapokwenda kutoa MAHALI kwani anasema kwa mila za kwao (KINGONI) HAKUNA KISHIKA UCHUMBA WALA UCHUMBA bali kuna URAFIKI then Ukienda kujitambulisha nyumbani kwao ndo unatoa na MAHALI JUMLA JUMLA.
Naombeni msaada wenu kwa sababu nimekuwa nikimsisitiza sana lakini yeye anakataa kwa kusema kuwa:-
1. Nikibadilisha Imani na wewe ukanikataa ITAKUWAJE?
2. Naishi na mamdogo wangu, Hivyo nikibadili IMANI hatanielewa kwani ni MKALI SANA-Ila kama ningekuwa naishi na Mama mzazi ambaye alikuwa mwelewa-NINGEBADILI NA ANGENIELEWA NA NISINGEPATA SHIDA YOYOTE.
Yeye anaonekana Kumtii mama yake Mdogo sana kuliko yeyote yule. Je Nifanyeje? NAOMBA MSAADA WENU.
Nina rafiki yangu MWENYE UMRI WA MIAKA 25 (AMEMALIZA CHUO KIKUU, 2011) Yeye ni wa Imani tofauti na yangu lakini nimempenda na nimedhamilia kuishi naye kama my wife lakini tatizo kubwa kwake ni kwamba HATAKI kubadili IMANI yake mpaka hapo nitakapokwenda kutoa MAHALI kwani anasema kwa mila za kwao (KINGONI) HAKUNA KISHIKA UCHUMBA WALA UCHUMBA bali kuna URAFIKI then Ukienda kujitambulisha nyumbani kwao ndo unatoa na MAHALI JUMLA JUMLA.
Naombeni msaada wenu kwa sababu nimekuwa nikimsisitiza sana lakini yeye anakataa kwa kusema kuwa:-
1. Nikibadilisha Imani na wewe ukanikataa ITAKUWAJE?
2. Naishi na mamdogo wangu, Hivyo nikibadili IMANI hatanielewa kwani ni MKALI SANA-Ila kama ningekuwa naishi na Mama mzazi ambaye alikuwa mwelewa-NINGEBADILI NA ANGENIELEWA NA NISINGEPATA SHIDA YOYOTE.
Yeye anaonekana Kumtii mama yake Mdogo sana kuliko yeyote yule. Je Nifanyeje? NAOMBA MSAADA WENU.