Zahor Salim
Member
- Sep 1, 2010
- 29
- 8
Salaam wa wanaukumbi
naomba kujulishwa kama hapa dar es salaam kama kuna flat zinauzwa kwa njia ya malipo ya instlament yaani kama kuna mjenzi anajenga jengo la ghorofa kumi na zaidi na huwa anauza flat kabla hayaanza kujenga na kulipa down payment na balnce kwa muda wa miaka 2 au zaid.
Naomba yeyote anaejuwa naomba contact
natanguliza shukran
naomba kujulishwa kama hapa dar es salaam kama kuna flat zinauzwa kwa njia ya malipo ya instlament yaani kama kuna mjenzi anajenga jengo la ghorofa kumi na zaidi na huwa anauza flat kabla hayaanza kujenga na kulipa down payment na balnce kwa muda wa miaka 2 au zaid.
Naomba yeyote anaejuwa naomba contact
natanguliza shukran