Mimi nilishauriwa nisinunue kwa Sababu Spea zake ni Adimu sana, Nakushauri fanya Uchunguzi wa Kutosha maana hizo gari mostly nimesikia sifa zake mbaya kuliko Nzuri
Umefikaje fikaje huku? Hii ni 2010 threadCRV-Honda imekaa kike sana
Ukike haujali mwakaUmefikaje fikaje huku? Hii ni 2010 thread