ijoz
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 731
- 709
Habari wana JF.
Jamani nafikiria kununua guta. Hivyo kwa yeyote anayefahamu range za bei zake please naomba mnitaarifu. Pia mkinisaidia kufahamu taarifa zozote muhimu kuhusu GUTA itakuwa ni msaada sana kwangu.
Nikifanikiwa lengo langu biashara niifanyie Dar.
Natanguliza shukrani kwa wachangiaji HASA WENYE CONSTRUCTIVE IDEAS.
Jamani nafikiria kununua guta. Hivyo kwa yeyote anayefahamu range za bei zake please naomba mnitaarifu. Pia mkinisaidia kufahamu taarifa zozote muhimu kuhusu GUTA itakuwa ni msaada sana kwangu.
Nikifanikiwa lengo langu biashara niifanyie Dar.
Natanguliza shukrani kwa wachangiaji HASA WENYE CONSTRUCTIVE IDEAS.