Kitty Galore
JF-Expert Member
- May 24, 2011
- 345
- 100
Wadau naombeni ushauri wenu. Nina mpango wa kutafuta kacamera kadogo lakini sijajua ni aina gani nzuri na vingine vingi vinavyohusu camera.
Ningeomba kwa wale wenye ujuzi na chombo hiki wanishauri ninunue ya aina gani. Nilikuwa napendelea digital camera yenye uwezo wa kuchukua na video.
Asanteni kwa ushirikiano wenu
Ningeomba kwa wale wenye ujuzi na chombo hiki wanishauri ninunue ya aina gani. Nilikuwa napendelea digital camera yenye uwezo wa kuchukua na video.
Asanteni kwa ushirikiano wenu