Nafikiri unaweza as a concerned/affected individual and u have evidence. Disaini ya Mtikila style, au sijakuelewa?
Hauwezi.
Nawashukuru wote walio changia,
SASA,MBONA BW.MENGI HAWAFUNGULII MASHTAKA WALE MAFISADI PAPA NA ANADAI ANA USHAHIDI?au naye haitakii MEMA NCHI HII TANZANIA?[/QUOTE]
Sasa umeeleweka mkuu, lakini approach yako mbovu watu wamekwisha choka na hoja za hao wapumbavu.Wanajadili masuala ya kitaifa na huo ushabiki unazo thread zake zina majina hayo hayo ( MengiVsRostam etal). Ukitaka wakufuate wewe badili kichwa cha thread yako kuwa Kwa nini Mengi hawafungulii mashtaka mafisadi? watakuja wengi tu.. mchana mwema kama upo bongo.
Yes, Sheria ya Mwenendo wa Mashitaka ya Jinai inaruhusu kumfungulia mtu kesi na ukaiendesha binafsi/ wakili wako badala ya utaratibu wa kawaida wa kutegemea ofisi za Serikali kama vile TAKUKURU na DPP.
Hiyo inaitwa 'private prosecution' ila hatari yake ni kwamba DPP bado anairatibu, so kuna hatari ya ukifungua tu (kama sheria inavyokupa haki) naye akaifuta (kama sheria naye inavyompa haki) kwa kile tunachoita nolle proseque (kutoona haja ya kuendelea kushitaki).
yes, sheria ya mwenendo wa mashitaka ya jinai inaruhusu kumfungulia mtu kesi na ukaiendesha binafsi/ wakili wako badala ya utaratibu wa kawaida wa kutegemea ofisi za serikali kama vile takukuru na dpp.
Hiyo inaitwa 'private prosecution' ila hatari yake ni kwamba dpp bado anairatibu, so kuna hatari ya ukifungua tu (kama sheria inavyokupa haki) naye akaifuta (kama sheria naye inavyompa haki) kwa kile tunachoita nolle proseque (kutoona haja ya kuendelea kushitaki).