Mr.mzumbe
JF-Expert Member
- Oct 11, 2011
- 1,014
- 957
Itupe ukutani then ucheze gemu ya puzzle ile yakuassemble parts of ur mobile to obtain a real phone...
Mia mkuu.
Itupe ukutani then ucheze gemu ya puzzle ile yakuassemble parts of ur mobile to obtain a real phone...
No. I am Idiot. Like you.
Zima ukiamka unawasha
Kila nikitaka kujipumzisha mchana mara nyingi simu hainipi fursa ya kufanya hivyo..je ni lipi sahihi?
niizime?
niiweke silent?
niidivert somewhere?
niactivate voice mail?
niiache ON?
ukinipigia je? nimeshinda bahati nasibu nisipopatikana unacancel.....
mwingine alikupigia akujulishe habari ya dharura itakayokukabili muda huo...
Kila nikitaka kujipumzisha mchana mara nyingi simu hainipi fursa ya kufanya hivyo..je ni lipi sahihi?
niizime?
niiweke silent?
niidivert somewhere?
niactivate voice mail?
niiache ON?
habari za dharura nyingi mbaya. Lala kwanza ukikuta missed calls utawapigia.
Alafu wewe!
Mkuu
kwanza nimefurahi
teh ! teh ! teh
nimechekeshwa kwa kukuta comment zangu humu za February so zimekua update.
Back to the mada ni hivi kwangu mie haitesi simu yangu kuita nikiwa mbonji , itanitesa ikiita wakati nalishwa nyumba, ama napewa cha'day ama cha'nite ! Alafu eti simu iite hapo ndo nakatwaga handas!
Hii ya usingizi mi nikilala simu yangu hua nampa wife.
Na wewe nakushauri fanya hivyo.
Fullystop