....ni jamii ya wasudani kusini..wanaringa sana..
Ha ha haaaaa imekula kwako,Wa wp huyo?Kyela,tukuyu,kiwira kwa mwankenja,masoko,Tenende,Kambasegele,Lwanga,Mbambo,Nsitu,Mbambo,Itete,kanga,Nselya,Mbugani!Wa wp huyo muulize ndo tutajua cfa zake
Ukiwaona wafuatao, ndio wanaume wakinyakyusa tulivyo:
Dr. H. Mwakyembe, Prof. M. Mwandosya, Dr. Ulimboka Steven,
Afande Abdallah Msika, Coach Dan Korosso, Coach John Kanakamfumu,
Mwimbaji Bon Mwaitege, Mch. Anthony Lusekelo, Mwalimu Christopher Mwakasege,
Sheikh Aboubakar Mwaipopo, Jaji Lawrence Mwalusanya, Balozi Mwasakafyuka,
Mjasiriamali Richard Kasesela, Cha Moto wa JF, RC mstaafu Mbeya John Mwakipesile na kadhalika na kadhalika.
Ila kwa kifupi hawa watu ni MAJASIRI sana.
Na upande wa MAPENZI ni wajuzi mno.
Ina ka ukweli kwa karibu 80% hiyo inaweza kumsaidia kufanya maamuzi
niangusage!!!!!wanapenda sana hadi mashemeji kama wakitaka wanasaidiwa ru
woote mnachengachenga tuu...jamaa ni wapenda chini balaa....
Ukiwaona wafuatao, ndio wanaume wakinyakyusa tulivyo:
Dr. H. Mwakyembe, Prof. M. Mwandosya, Dr. Ulimboka Steven,
Afande Abdallah Msika, Coach Dan Korosso, Coach John Kanakamfumu,
Mwimbaji Bon Mwaitege, Mch. Anthony Lusekelo, Mwalimu Christopher Mwakasege,
Sheikh Aboubakar Mwaipopo, Jaji Lawrence Mwalusanya, Balozi Mwasakafyuka,
Mjasiriamali Richard Kasesela, Cha Moto wa JF, RC mstaafu Mbeya John Mwakipesile na kadhalika na kadhalika.
Ila kwa kifupi hawa watu ni MAJASIRI sana.
Na upande wa MAPENZI ni wajuzi mno.
Ni watu wenye msimamo na independent minded!! Sio watu wa kujipendekeza hivyo hawaburuzwi buruzwi hovyo na wajinga!!
itagata,masukulu,katonya,lyebhe,lwanga,imezu,kasumulu au nditu?
malaya wa kutupwa, amini usiamini nisemayo...wanyakusa wanaume kwa wanawake wote huwa na pepo la ngono....wanaume huwa hawakati magovi kabisa...sawa tu na wahaya na wasukuma....mimi nimeishi mbeya, nimeoa mbeya pia.
gwajima ni mkurya wewe, amezaliwa Tarime, hadi kwao nakufahamu.....mwulize mtu yeyote...au kwasababu ana mchungaji wake mmoja pale ambaye ni mnyakyusa?kwa kweli ni majasiri sana, hebu ongezea hawa:
mch. Josephat Gwajima, Dr. A.J nsekela, jaji of H.C Mwakasendo, jaji R. Mwaikasu, Hon. Prof. Mwaikusa, Hon. Prof D. Mwakyusa, R.C wa Ruvuma dr. Mwambungu, aliekuwa RPC Moro then Arusha Insp. T. Andengenye, mch. Dr. Mwakasege.
Ni wasomi, wapenda haki na wapole! Kwenye mapenzi wana wivu wa kutosha.
mke wangu si mnyakyusa pamoja na kwamba amezaliwa mbeya mjini, wazazi wake walikuwa wanafanya kazi pale...na mimi nilipohamia kikazi pale nikakutana naye, tukaendeleza hadi kuoana....miaka mingi imepita.....nilimkuta bikira.....namheshimu kupita maelezo.kwa hiyo mkeo malaya?
gwajima ni mkurya wewe, amezaliwa Tarime, hadi kwao nakufahamu.....mwulize mtu yeyote...au kwasababu ana mchungaji wake mmoja pale ambaye ni mnyakyusa?
hata dk. mwakyembe?