Nataka kujua sifa za wanaume wa kinyakyusa

Halafu wale original wanamaumbile kama haya!
avatar42391_6.gif
 
Ha ha haaaaa imekula kwako,Wa wp huyo?Kyela,tukuyu,kiwira kwa mwankenja,masoko,Tenende,Kambasegele,Lwanga,Mbambo,Nsitu,Mbambo,Itete,kanga,Nselya,Mbugani!Wa wp huyo muulize ndo tutajua cfa zake

Miss Strong, kwenye comma weka space ili tuweze kukariri vizuri huo msitu wa vijiji na kata za kwenu!
 
niangusage!!!!!wanapenda sana hadi mashemeji kama wakitaka wanasaidiwa ru
 
Ukiwaona wafuatao, ndio wanaume wakinyakyusa tulivyo:
Dr. H. Mwakyembe, Prof. M. Mwandosya, Dr. Ulimboka Steven,
Afande Abdallah Msika, Coach Dan Korosso, Coach John Kanakamfumu,
Mwimbaji Bon Mwaitege, Mch. Anthony Lusekelo, Mwalimu Christopher Mwakasege,
Sheikh Aboubakar Mwaipopo, Jaji Lawrence Mwalusanya, Balozi Mwasakafyuka,
Mjasiriamali Richard Kasesela, Cha Moto wa JF, RC mstaafu Mbeya John Mwakipesile na kadhalika na kadhalika.

Ila kwa kifupi hawa watu ni MAJASIRI sana.
Na upande wa MAPENZI ni wajuzi mno.

Acha kamba wewe! Richard Kasesela ni mwajiriwa sio mjasiriamali....
 
Ukiwaona wafuatao, ndio wanaume wakinyakyusa tulivyo:
Dr. H. Mwakyembe, Prof. M. Mwandosya, Dr. Ulimboka Steven,
Afande Abdallah Msika, Coach Dan Korosso, Coach John Kanakamfumu,
Mwimbaji Bon Mwaitege, Mch. Anthony Lusekelo, Mwalimu Christopher Mwakasege,
Sheikh Aboubakar Mwaipopo, Jaji Lawrence Mwalusanya, Balozi Mwasakafyuka,
Mjasiriamali Richard Kasesela, Cha Moto wa JF, RC mstaafu Mbeya John Mwakipesile na kadhalika na kadhalika.

Ila kwa kifupi hawa watu ni MAJASIRI sana.
Na upande wa MAPENZI ni wajuzi mno.

kwa kweli ni majasiri sana, hebu ongezea hawa:
Gen. Davis Mwamunyange, Dr. A.J nsekela, jaji of H.C Mwakasendo, jaji R. Mwaikasu, Hon. Prof. Mwaikusa, Hon. Prof D. Mwakyusa, R.C wa Ruvuma dr. Mwambungu, aliekuwa RPC Moro then Arusha Insp. T. Andengenye, mch. Dr. Mwakasege.
Ni wasomi, wapenda haki na wapole! Kwenye mapenzi wana wivu wa kutosha.
 
malaya wa kutupwa, amini usiamini nisemayo...wanyakusa wanaume kwa wanawake wote huwa na pepo la ngono....wanaume huwa hawakati magovi kabisa...sawa tu na wahaya na wasukuma....mimi nimeishi mbeya, nimeoa mbeya pia.
 
malaya wa kutupwa, amini usiamini nisemayo...wanyakusa wanaume kwa wanawake wote huwa na pepo la ngono....wanaume huwa hawakati magovi kabisa...sawa tu na wahaya na wasukuma....mimi nimeishi mbeya, nimeoa mbeya pia.

kwa hiyo mkeo malaya?
 
kwa kweli ni majasiri sana, hebu ongezea hawa:
mch. Josephat Gwajima, Dr. A.J nsekela, jaji of H.C Mwakasendo, jaji R. Mwaikasu, Hon. Prof. Mwaikusa, Hon. Prof D. Mwakyusa, R.C wa Ruvuma dr. Mwambungu, aliekuwa RPC Moro then Arusha Insp. T. Andengenye, mch. Dr. Mwakasege.
Ni wasomi, wapenda haki na wapole! Kwenye mapenzi wana wivu wa kutosha.
gwajima ni mkurya wewe, amezaliwa Tarime, hadi kwao nakufahamu.....mwulize mtu yeyote...au kwasababu ana mchungaji wake mmoja pale ambaye ni mnyakyusa?
 
kwa hiyo mkeo malaya?
mke wangu si mnyakyusa pamoja na kwamba amezaliwa mbeya mjini, wazazi wake walikuwa wanafanya kazi pale...na mimi nilipohamia kikazi pale nikakutana naye, tukaendeleza hadi kuoana....miaka mingi imepita.....nilimkuta bikira.....namheshimu kupita maelezo.
 
gwajima ni mkurya wewe, amezaliwa Tarime, hadi kwao nakufahamu.....mwulize mtu yeyote...au kwasababu ana mchungaji wake mmoja pale ambaye ni mnyakyusa?

nime edit mkuu, nikipata jina la yule msaidizi wake nitareplace! Proudly nyakyusa.
 
Back
Top Bottom