Mzito Kabwela
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 18,857
- 7,615
Hamna ishu hapa.......
mie ni mwanamme wa kinyakyusa, nikusaidieje?
Kichwa cha khabari chajieleza..karibuni kwa michango yenyu bhana
Ni kama unavyowaona dk.ulimboka na dr. Mwakyembe ndivyo wanyaki tulivyo.
....ni jamii ya wasudani kusini..wanaringa sana..
Tunajua kupenda na kujali...tunapenda sifa na ni wahangaikaji wa kupambana na ukali wa maisha...
kweli mwanangu, kama mzee una 'KIPELE" aibu yakoo...Mwanamke akitaka kujuwa sifa za wanaume fulani unafikiri anauliza nini zaidi ya hicho.
kweli mwanangu, kama mzee una 'KIPELE" aibu yakoo...
5" mpaka 6" sio zaidi.
Wasukuma, Wanyamwezi na Wamasai, ni above average, nchi 7 mpaka 12.
Kwi kwi kwi teh teh teh!
si kweliHuwa na magozi,Wengi huyaondoa ukubwani.
Mkuu umeongea pointi muhimu kweli. Zinatuhusu wengihizi threads sasa zinaboa
mnyakyusa kazaliwa dar,mbeya anaenda kusalimia..
mnyakyusa kazaliwa London kaja TZ ana miaka 18....
mnyakyusa kazaliwa na mama mzaramo na kalelewa kisiju kwa wajomba zake
mnyakyusa kazaliwa Tanga ambapo baba na mama yake waliishi kikazi
mnyakyusa kasoma Kenya from Primary to University........
get it now?