Chiwa
JF-Expert Member
- Apr 17, 2008
- 3,974
- 4,733
nakumbuka zamani nilisoma miezi 6 pig production ila mwalimu hakuwa anaweza kunielekeza vizuri na kiingereza chenyewe cha form one ndo vile matokeo yake leo nakumbuka kidogo sana.ninajipanga kufanya biashara hii kwa sasa naomba nielezwe uzoefu wenu pia niweze kuongeza ufanisi zaidi ikiwa ni pamoja na matayarisho ya banda liweje chakula,kuzaa muda wa kuuza na mengine mengi kwa kadri mjuavyo.msilete utani hali mbaya biashara zingine zimeshikiliwa na eura bora haitumii sana mafuta ukiwa bush.