Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,426
- 18,228
- Thread starter
- #101
maumivu tayari na ninafanya mipango ya IndiaDuh! Kuna lile tangazo la Panadol redioni " Maumivu ya homa yanaaaaaaaaaanza Taraaaaatibu!"
Mkuu tafuta matibabu ya huo ugonjwa kabla ujazidiwa na kupelekwa India..... Ugonjwa ukizidi sana atakuletea wanaume humo ndani ya nyumba yako nawe atakupoza kwa mauno ya kitandani kwani anajuwa umezimia kwa hayo mauno ambayo kwa mtazamo wangu unaweza pata mbadala....
Kuna tangazo lingine redioni linasema " Chukua tahadhali SASA!"