Yaani totoz likikasirika linaondoka likitingisha mzigo ? na unataka ushauri kweli ? hapo usiondoke hata kwa forklift aisee.teh teh teh aliyeimba mwenyewe hajapata solution
Yaani totoz likikasirika linaondoka likitingisha mzigo ? na unataka ushauri kweli ? hapo usiondoke hata kwa forklift aisee.teh teh teh aliyeimba mwenyewe hajapata solution
kanda maalum lipo Dar na Tarime sasa huyu wa wapi ?we utakuwa wa kanda maalumu tu!
Yaani totoz likikasirika linaondoka likitingisha mzigo ? na unataka ushauri kweli ? hapo usiondoke hata kwa forklift aisee.
Hayo matumizi ni cha mtoto tu, hata david cameroun pia anatumia, lakini jimama linavibrate? khaaaa!unakuta anakufikisha kunako halafu bado anakulisha na matumizi juu dah...huwezi kurevange kauli yake.
tatizo huli kwa raha,unakula kwa shingo upande na kesho mipasho kama kawaheheeh kamanda umeona eeh? yaani jimama linavibrate bila sabab za msingi laivu. Hapo kama mimi nalikasirisha maksudi litingishe.
kamanda excellent komaa nalo jimama, tayari una kura za magreti thinka mawili muhim sana hapa JF
Mkuu usichanganye mambo kama sio mwaminifu hilo swala lingine lakini kama kameza tu CD na yuko fit kwa room na majonjo ya sebuleni kwa saana sioni tatizo.ya nini niumize kichwa wakati najua akiwezeshwa ananiacha
hehe Helmet halikutengenezwa kwa ajili ya pikipiki tu kamanda. think! excellent think!tatizo huli kwa raha,unakula kwa shingo upande na kesho mipasho kama kawa
mkuu lazima atakuwa amepewa maneno,itakuwaje ameze CD tena album halafu hakuna kani kinzani?Mkuu usichanganye mambo kama sio mwaminifu hilo swala lingine lakini kama kameza tu CD na yuko fit kwa room na majonjo ya sebuleni kwa saana sioni tatizo.
khaaaaa! hapa mzembe mzuka umenipanda hafla. wako wangapi kwao?linavibrite kama simu ya philips toleo la mwanzo,likivibrate kama mashine ya kusaga
Dah! FA kwema mpendwa?Je hii haitoshi kwa siku ya leo?
Mambo mrembo ? hebu tusaidie mawazo kidogo nimemwambia kama bibie anachonga tu lakini kwa room yuko fit na anatingisha mgongo akikatiza sebuleni Excellent avumilie tu au unaonaje ?Je hii haitoshi kwa siku ya leo?
ni kweli helmet inavaliwa kwa usalama ila kuna ajali huponi,ila vibration ndo inanifanya nigeuze shingo nyuma
Dah! FA kwema mpendwa?