Guys, we have to be serious!
Mtu anaomba msaada, na hapa ndio mahali sahihi lakini inaoonekana kama vile yuko kwenye jamvi la jokes!
Ndugu! JWTZ huwa wanatoa matangazo ya recruitment ya professionals. Hapa inategemea degree yako ni ya nini?, umri gani (<35)? usiwe na alama za kudumu (kovu lolote), kilema chochote, nk. Zaidi ya hapo uwe na damu salama (not HIV +ve), lakini pia uwe mwanaume kamili (rijali), kwa level yako hakuna kujuana sana kwa kuwa usaili ni moja kwa moja kunduchi makao makuu!
Kila la heri mkuu!
Mtu anaomba msaada, na hapa ndio mahali sahihi lakini inaoonekana kama vile yuko kwenye jamvi la jokes!
Ndugu! JWTZ huwa wanatoa matangazo ya recruitment ya professionals. Hapa inategemea degree yako ni ya nini?, umri gani (<35)? usiwe na alama za kudumu (kovu lolote), kilema chochote, nk. Zaidi ya hapo uwe na damu salama (not HIV +ve), lakini pia uwe mwanaume kamili (rijali), kwa level yako hakuna kujuana sana kwa kuwa usaili ni moja kwa moja kunduchi makao makuu!
Kila la heri mkuu!