ndugu jf mi ni member mpya nisaidiedien nantaka kujunga na JWTZ UTARATIBU UNAENDAJE
Nipo serious wakuu b'cause it has been my dream na kunawengine wananikatisha tamaa na mi nataka kuwatumikia watanzania kwa kuwalinda]
kama kutumikia watanzania kwa kuwalinda nenda KK security na ultimate au Zomboko security guards,lol
well huwa wanatangaza na intake ya mwisho imetoka last week!
kweli una digrii moja, ila jaribu kusubiri wakitangaza posti uombe,,vp hizo nyekundu unamaanisha au sibahati?ndugu jf mi ni member mpya nisaidiedien nantaka kujunga na JWTZ UTARATIBU UNAENDAJE
<br />Naamini vigezo vyote nimetimiza na kuhusu education nina degree 1.
<br />ndugu jf mi ni member mpya nisaidiedien nantaka kujunga na JWTZ UTARATIBU UNAENDAJE
Hebu achani ubabaishaji, anayejua amsaidie jamaa. A@Bwai ni Pm niko pamoja nawe, nina huo mpango na kule Upanga yupo jemedari mmoja ni bro angu tutasaidiana bwana.
<br />Hebu achani ubabaishaji, anayejua amsaidie jamaa. A@Bwai ni Pm niko pamoja nawe, nina huo mpango na kule Upanga yupo jemedari mmoja ni bro angu tutasaidiana bwana.
Naamini vigezo vyote nimetimiza na kuhusu education nina degree 1.
Then msiwe kama facebook bhana great thinkers mnakuwa hamuelewi kama mtu ametoa thread then huielewi ujue hujaandikiwa wewe si lazima ujibu. Kuwen serious nigaz!