nataka kujiunga chadema lakini mimi sio mwanachama wa ccm,,nifanyeje??

rosemarie

JF-Expert Member
Mar 22, 2011
6,887
3,412
Wakuu naomba kujua kama chadema inataka wanachama ambao ni wanachama wa ccm pekee au yeyote asiye mwanachama wa chama chochote cha siasa anaweza kujiunga???nauliza hivyo kwa sababu kila siku tunaona Chadema inachukua wanachama wa ccm lakini hatuna takwimu za watu wangapi wasio wananchama wa ccm wanajiunga??hivi tanzania ina watu wangapi mpaka mgombee viwanachama vichache vya ccm na chadema,kwa nini msituweke chini na kutupa sera zenu halafu tujiunge sisi tusio wanachama wa chama chochote???tanzania ina watu mil40 lakini ccm haina hata wanachama mil3,sasa hao wooote waliobaki si muwaendee wawe wanachama wenu??
 
Wakuu naomba kujua kama chadema inataka wanachama ambao ni wanachama wa ccm pekee au yeyote asiye mwanachama wa chama chochote cha siasa anaweza kujiunga???nauliza hivyo kwa sababu kila siku tunaona Chadema inachukua wanachama wa ccm lakini hatuna takwimu za watu wangapi wasio wananchama wa ccm wanajiunga??hivi tanzania ina watu wangapi mpaka mgombee viwanachama vichache vya ccm na chadema,kwa nini msituweke chini na kutupa sera zenu halafu tujiunge sisi tusio wanachama wa chama chochote???tanzania ina watu mil40 lakini ccm haina hata wanachama mil3,sasa hao wooote waliobaki si muwaendee wawe wanachama wenu??

Hoja mufilisi za kudumu kwa magamba. Wewe ni gamba unahitaji ukombozi chukua hatua
 
Wakuu naomba kujua kama chadema inataka wanachama ambao ni wanachama wa ccm pekee au yeyote asiye mwanachama wa chama chochote cha siasa anaweza kujiunga???nauliza hivyo kwa sababu kila siku tunaona Chadema inachukua wanachama wa ccm lakini hatuna takwimu za watu wangapi wasio wananchama wa ccm wanajiunga??hivi tanzania ina watu wangapi mpaka mgombee viwanachama vichache vya ccm na chadema,kwa nini msituweke chini na kutupa sera zenu halafu tujiunge sisi tusio wanachama wa chama chochote???tanzania ina watu mil40 lakini ccm haina hata wanachama mil3,sasa hao wooote waliobaki si muwaendee wawe wanachama wenu??

Kwa taarifa yako wasio wanachama wa wa chama chochote wanajiunga kibao ila hawasikiki, unawasikia wa wale kutoka CCM kwasababu wanatoka walikuwa wana wapotevu hawakujua kwamba walikuwa wrong kwenda CCM hivyo wanautangazia umma na waliobaki CCM kwamba wabadirike
 
Wakuu naomba kujua kama chadema inataka wanachama ambao ni wanachama wa ccm pekee au yeyote asiye mwanachama wa chama chochote cha siasa anaweza kujiunga???nauliza hivyo kwa sababu kila siku tunaona Chadema inachukua wanachama wa ccm lakini hatuna takwimu za watu wangapi wasio wananchama wa ccm wanajiunga??hivi tanzania ina watu wangapi mpaka mgombee viwanachama vichache vya ccm na chadema,kwa nini msituweke chini na kutupa sera zenu halafu tujiunge sisi tusio wanachama wa chama chochote???tanzania ina watu mil40 lakini ccm haina hata wanachama mil3,sasa hao wooote waliobaki si muwaendee wawe wanachama wenu??

Hadi leo hujui wapi kwako ya kupata kadi yako nzuri kweli?tafadhali fika ofisi yoyote ya cdm mkoa au wilaya utapata kadi hiyo.Acha kutuzuga.Kama una nia tafadhali itafute.Wanachama wapya wanajiunga kila siku lakini hao wa ccm ni watamu zaidi kuwaonesha kina Nape kuwa chama chao kinakataliwa mchana kweupe hasa na sisi vijana.Mimi binafsi sikuwahi kujiunga na ccm.Nimejiunga moja kwa moja na cdm mwaka 2010.Kama ni kijana tafadhali tumia haki yako ya kujiunga na cdm haraka.
 
Back
Top Bottom