rosemarie
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 6,887
- 3,412
Wakuu naomba kujua kama chadema inataka wanachama ambao ni wanachama wa ccm pekee au yeyote asiye mwanachama wa chama chochote cha siasa anaweza kujiunga???nauliza hivyo kwa sababu kila siku tunaona Chadema inachukua wanachama wa ccm lakini hatuna takwimu za watu wangapi wasio wananchama wa ccm wanajiunga??hivi tanzania ina watu wangapi mpaka mgombee viwanachama vichache vya ccm na chadema,kwa nini msituweke chini na kutupa sera zenu halafu tujiunge sisi tusio wanachama wa chama chochote???tanzania ina watu mil40 lakini ccm haina hata wanachama mil3,sasa hao wooote waliobaki si muwaendee wawe wanachama wenu??