Nataka kujenga Shule ya Sekondari, Manispaa ya TMK, naombeni ushauri

Rich Dad

JF-Expert Member
Dec 15, 2010
748
133
Wadau salaam zenu,

Najua hiki ni kisima cha maarifa na ndo maana nimeweka wazi nia yangu ya muda mrefu ili nipate mawazo yenu.
Mpaka sasa nimeshanunua ardhi yenye ukubwa wa ekari tatu, nimwemwaga mchanga na kokoto site kwa uchache lakini.
Plan ni kuanza kujenga madarasa matatu, ofisi, na vyoo vya public kwanza kutokana na uwezo wangu mdogo.

Haya madarasa nina imani nitayakamilisha kwa ubora wa wahili ya juu ndani ya mwaka huu. Kuhusu furnitures nitacheck mwakani (2012).

Kuhusu waalimu, nimepanga kutumia wa hapahapa nchini kwa sababu naamini wapo wengi wa kutosha.
market segment bado inanisumbua; maana binafsi nilifikiaria kujikita kwenye masomo ya science kwa O - Level ambayo ni ugonjwa wa taifa but nikifikiria mambo ya Maabara na eneo ninalotaka kuanzisha shule napiga chini hilo wazo ( hapo mahali hakuna umeme).

Naombeni ushauri wenye kuwezesha kufanikisha kiu yangu.
 
Anzisha shule ya a-level arts then ukitoka vizuri necta wateja watakuwa wengi sana unaweza anza o-level!!!! Mkuu kuendesha maabara si mchezo hasa ya chemistry!!!!!!
 
Anzisha shule ya a-level arts then ukitoka vizuri necta wateja watakuwa wengi sana unaweza anza o-level!!!! Mkuu kuendesha maabara si mchezo hasa ya chemistry!!!!!!
Nashukuru kwa ushauri mkuu! Je, unadhani madarasa matatu pamoja na ofc ya walimu yatatosha kwa kuanzia?
 
Wakuu bado nahitaji michango yenu! Niko serious nahitaji kuanza hii kitu soon, kwa sasa nakamilisha business plan ambayo maboresho yake yatategemea pia michango yenu.
Kama kuna yeyote angependa kuwa partner kwenye hili tafadhali pm ili tujadili.
Alone you can do so little, but together we can do more!
 
nashukuru kwa ushauri mkuu! Je, unadhani madarasa matatu pamoja na ofc ya walimu yatatosha kwa kuanzia?
ungeongeza ofisi ya headmaster na kama mfuko utaruhusu ongeza darasa moja litumike kama maktaba ya muda, kwa kuanzia isijali usipende kabisa kuwa na waanafunzi wengi wasio bora ila wakiwa wachache management yao ni rahisi na outcome yao inaweza kukuweka kwenye ramani nzuri ya kuendelea kuaminika!!!!!!
 
Hongera kwa wazo.
1 Anza na A- level mkondo wa biashara (ECA) ni rahisi sana kupata walimu wenye kiwango , ukichukulia vyuo vingi ni vya mikondo ya biashara kama vile B com, ADA.
2 Jitahidi uweze kupata nyumba kwa ajili ya walimu hata wawili maeneo ya karibu na shule ili kupunguza adha ya foleni
3 Toa nafasi kwa wana Jf wenye taaluma juje kukutia nguvu
 
Hongera kwa wazo.<br>1&nbsp;&nbsp; Anza na A- level mkondo wa biashara (ECA) ni rahisi sana kupata walimu wenye kiwango , ukichukulia vyuo vingi ni vya mikondo ya biashara&nbsp;&nbsp;&nbsp;&nbsp;&nbsp; kama vile B com, ADA.<br>2&nbsp;&nbsp; Jitahidi uweze kupata nyumba kwa ajili ya walimu hata wawili maeneo ya karibu na shule ili kupunguza adha ya foleni<br>3&nbsp;&nbsp; Toa nafasi kwa wana Jf wenye taaluma juje kukutia nguvu
 
Hongera kwa wazo.
1 Anza na A- level mkondo wa biashara (ECA) ni rahisi sana kupata walimu wenye kiwango , ukichukulia vyuo vingi ni vya mikondo ya biashara kama vile B com, ADA.
2 Jitahidi uweze kupata nyumba kwa ajili ya walimu hata wawili maeneo ya karibu na shule ili kupunguza adha ya foleni
3 Toa nafasi kwa wana Jf wenye taaluma juje kukutia nguvu
MAWAZO YAKO NI YA MSINGI SANA MHESHIMIWA, LAKINI NINA WASIWASI YA UPATIKANAJI WA WANAFUNZI WANAOSOMA ECA, KWA SABABU ECA NAVYO FAHAMU MIMI LAZIMA UWE NA BACKGROUND YA COMMERCE, B/KEEPING(MASOMA YA BIASHARA O-LEVEL) AMBAYO KWA TANZANIA KWA UJUMLA WAKE SHULE CHACHE SANA ZINA MCHEPUO HUO!! KWANGU MIMI LABDA AANZE NA HGE NA SI ECA kwa msingi wakupata wanafunzi wa kuanza nao, na pia HGL&HKL NI MUHIMU.
 
ungeongeza ofisi ya headmaster na kama mfuko utaruhusu ongeza darasa moja litumike kama maktaba ya muda, kwa kuanzia isijali usipende kabisa kuwa na waanafunzi wengi wasio bora ila wakiwa wachache management yao ni rahisi na outcome yao inaweza kukuweka kwenye ramani nzuri ya kuendelea kuaminika!!!!!!
Asante sana mkuu kwa mchango wako, yote uliyoshauri nitayafanyia kazi! Thanks
 
MAWAZO YAKO NI YA MSINGI SANA MHESHIMIWA, LAKINI NINA WASIWASI YA UPATIKANAJI WA WANAFUNZI WANAOSOMA ECA, KWA SABABU ECA NAVYO FAHAMU MIMI LAZIMA UWE NA BACKGROUND YA COMMERCE, B/KEEPING(MASOMA YA BIASHARA O-LEVEL) AMBAYO KWA TANZANIA KWA UJUMLA WAKE SHULE CHACHE SANA ZINA MCHEPUO HUO!! KWANGU MIMI LABDA AANZE NA HGE NA SI ECA kwa msingi wakupata wanafunzi wa kuanza nao, na pia HGL&HKL NI MUHIMU.
Angalizo lako naona ni la msingi sana, shule za commerce kwa. Olevel naona ni chache sana kwa TZ yetu!
 
Wadau salaam zenu,

Najua hiki ni kisima cha maarifa na ndo maana nimeweka wazi nia yangu ya muda mrefu ili nipate mawazo yenu.
Mpaka sasa nimeshanunua ardhi yenye ukubwa wa ekari tatu. nimwemwaga mchanga na kokoto site kwa uchache lakini.
Plan ni kuanza kujenga madarasa matatu, ofisi, na vyoo vya public kwanza kutokana na uwezo wangu mdogo. Haya madarasa nina imani nitayakamilisha kwa ubora wa wahili ya juu ndani ya mwaka huu. Kuhusu furnitures nitacheck mwakani (2012).
Kuhusu waalimu, nimepanga kutumia wa hapahapa nchini kwa sababu naamini wapo wengi wa kutosha.
market segment bado inanisumbua; maana binafsi nilifikiaria kujikita kwenye masomo ya science kwa o-level ambayo ni ugonjwa wa taifa but nikifikiria mambo ya maabara na eneo ninalotaka kuanzisha shule napiga chini hilo wazo ( hapo mahali hakuna umeme).
Naombeni ushauri wenye kuwezesha kufanikisha kiu yangu.

naomba tenda ya ku supply stationaries, school buses, na kantini pliz!
 
naomba tenda ya ku supply stationaries, school buses, na kantini pliz!
Mambo yakiwa sawa nitaweka hadharani kupitia thread hii hii, nitaeleza mafanikio pamoja na changamoto nilizokutana nazo.
 
Kila kitu mwanzon kina gharama. Mfano mama ntilie mara ya kwanza tu kupika lazima arudi na chakula. Hivo jiandae na pesa flan ya taadhar kwa ajili ya kumiti mishahara usitegemea ada kwan waweza pata wanafunz wachache wa kuanzia. Pili wazo la kuanza na a-level ni zur kwan kwa miaka miwili waweza tengeneza jina tofauti na o-level ambapo ni 4yr. Tatu advance usianze na science ztachafua jina anza na combi kipenz cha weng hgl,hkl,hge izo zitakupatia jina. Kila la kheri wazo zuri mungu atakusaidia.
 
Kila kitu mwanzon kina gharama. Mfano mama ntilie mara ya kwanza tu kupika lazima arudi na chakula. Hivo jiandae na pesa flan ya taadhar kwa ajili ya kumiti mishahara usitegemea ada kwan waweza pata wanafunz wachache wa kuanzia. Pili wazo la kuanza na a-level ni zur kwan kwa miaka miwili waweza tengeneza jina tofauti na o-level ambapo ni 4yr. Tatu advance usianze na science ztachafua jina anza na combi kipenz cha weng hgl,hkl,hge izo zitakupatia jina. Kila la kheri wazo zuri mungu atakusaidia.

Good advice,
Jipange kama ulivyoshauriwa.
 
Kila kitu mwanzon kina gharama. Mfano mama ntilie mara ya kwanza tu kupika lazima arudi na chakula. Hivo jiandae na pesa flan ya taadhar kwa ajili ya kumiti mishahara usitegemea ada kwan waweza pata wanafunz wachache wa kuanzia. Pili wazo la kuanza na a-level ni zur kwan kwa miaka miwili waweza tengeneza jina tofauti na o-level ambapo ni 4yr. Tatu advance usianze na science ztachafua jina anza na combi kipenz cha weng hgl,hkl,hge izo zitakupatia jina. Kila la kheri wazo zuri mungu atakusaidia.
Asante sana mkuu kwa ushauri. Nitatoa mrejesho ni jinsi gani ninaendelea
 
Good advice,Jipange kama ulivyoshauriwa.
Asante sana Malila, itabidi nije nikutafute tuonane, maana umekuwa msaada mkubwa sana hapa JF. Huwa unani inspire sana unapotoa ushauri jinsi gani ya kufanikiwa katika mambo yetu ya ujasiriamali.
 

okoa muda,okoa pesa na kuza biashara yako kwakuhudumiwa na Busiminet co.ltd

BUSIMINET COMPANY LIMITED

Po.box 12659
Kinondoni-Dar es salaam

Tanzania
Mob: 07 65 90 10 93 / 06 58 12 31 58
E-mail: busiminet@gmail.com
Website: busiminet.blogspot.com

BUSINESS

1.
Assist in business licenses registration with municipals, ministries and other Government bodies.
2. Assist in business name, School, Colleges, NGO's, Succoss and Company registration.
3.
Preparation of Business Proposal, Constitution, Memorandum, Article of Association and Company Profile

4.Preparation of business plans
5.
Business Restructuring
6.Loan processing
7
.
Business consultations
8.
Preparation of Research proposals

IT AND RELATED SERVICES
GRAPHIC DESIGN
1.
Logo,Bill boards, Posters.
2.
Business cards, Identity cards (ID).
3.
Brochures Flyers, Invitation cards.
4.
Calendar,Product label Magazines
5.
Photo Editing and Retouching Special Envelope, Movie covers
6.
Website, Blogs and Systemdesign and development
7.
Computer maintenance
8.
Computer software installation
9.
Network designing and installation
10.CCTV installation
11.
AC installation and maintenance


Business in the smooth environment ensures growth


 
Back
Top Bottom