Karhumanzira
Member
- Oct 19, 2011
- 50
- 9
Habari wadau,
Ninataka kujenga kaghorofa kadogo tu na kiwanja hakijapimwa,kipo bunju,je utaratibu ukoje? Nijenge tu bila kupima? Je nikaombe kibali cha ujenzi hata kama kiwanja hakijapimwa? Au hairuhusiwi kujenga kama kiwanja hakijapimwa? Au unaweza kujenga tu hata kama kiwanja hakijapimwa sema tu uwe na kibali?
Ufafanuzi please wadau wa sheria
Ninataka kujenga kaghorofa kadogo tu na kiwanja hakijapimwa,kipo bunju,je utaratibu ukoje? Nijenge tu bila kupima? Je nikaombe kibali cha ujenzi hata kama kiwanja hakijapimwa? Au hairuhusiwi kujenga kama kiwanja hakijapimwa? Au unaweza kujenga tu hata kama kiwanja hakijapimwa sema tu uwe na kibali?
Ufafanuzi please wadau wa sheria