Kashaijabutege
JF-Expert Member
- Oct 20, 2010
- 2,696
- 740
Soma kwanza. Bado unapata shida sana kuandika hata Kisawahili, utawezaje kusoma miswada ya Kiingereza?
Tafuta kama milioni 300 za kuanzia kwa kuwaonga wapiga kura na wajumbe wa chama chako watakao kupitisha jina lako.
Mheshimiwa mtarajiwa,Nindoto yangu kugombeya ubunge maishani mwangu,kwasasa nasomea ualimu, mwaka wa mwisho,namaanisha 3rd yr kuanzia october 8, nawaza. na natamani sana kuwa mkombozi na mtetezi wa wanyonge maisha yangu yote ila tatizo sijui nitaanzia wapi ili kutimiza ndoto hii.Wadau,wanasiasa nisaidieni mawazo hapa niko sirious kugombeya ubunge katika jimbo moja hapa Tz je niwapi pakuanzia,
Kwanza itabidi niwe na pesa kiasi gani ili nigombee huo ubunge?
kutokana na fani nayo isomea na jun mwakani natumaini nitakuwa nime maliza je nitakuwa sahihi kugombeya?
Je ninini chauongeza au kujiandaa kielimu kiuchumi ama kisisiasa ili niwe kamili.
Good idea. Jipange, ubunge hausomewi hata kama uko kama Lusinde, uongozi hausomewi bali ni kipaji kama Nyerere, maamuzi hayajadiliwi hata kama utakuwa kama Jk. Unavyoishi ndivyo utakavyokuwa kama Obama. Be strong in +ve minds. Go ahead.
Hakuna patent ya ubunge wala urais. Zote ndoto tu.
hengo umemjibu vema watu wengi wanafikiri nchi inajengwa na viongozi wa kisiasa kumbe hata mama lishe anayepika karibu na jengo kubwa linaloendelea kujengwa ana mchango mkubwa sana katika ujenzi wa Taifa hili kuliko wale wabunge wanaolala bungeni au kupinga hoja zote za wapinzaniKama kweli unauchungu na nchii na kwamba unataka kulete mageuzi yenye tija na maendeleo katika nyanja za kiuchumi, siasa na jamii kwa ujumla nakushauri ukimaliza chuo nenda ukafundishe watoto wa Watanzania kokote utakapopangiwa.Maana utakuwa unawakomboa kifikira, ila kama umeona taaluma yako hailipi na unatamaa ya madaraka na miposho basi ingia kwenye siasa maana siasa inalipa.