mzee wa wazee
Member
- Nov 1, 2010
- 70
- 18
Ameona mwanga wa radi nje akadhani kumekucha!ahaaahaa rudi kalale dogo,kukikucha utaamshwa tu,tutakwenda pamoja,hatuwezi kukuacha bwana mdogo sawa eeh?
Lori!Una uhusiano wowote na Lori wa CCM ambaye kwa miaka zaidi ya 20 sasa anagombea kwa CCM Karatu na kupigwa chini. Kaa chini utafakari ila ninavyojua hali ya siasa kwa Karatu bado una safari ndefu