badiebey
JF-Expert Member
- Nov 29, 2013
- 5,875
- 3,097
Mkuu, nimeelewa vizuri asante sana. Nimepata fomu ya brela na nimeona ada za usajili zinavyoenda. Ila sipajapata ufafanuz let say kampuni ina mtaji 10Mn kodi za TRA inakuwa ngapi?
kodi ya kupeleka TRA inategemea na faida uliyopata,mtaji na mahesabu ya kampuni yako yatatumika ku'estimate tu hyo kodi,
kwa start up company kama hujaanza biashara bado lakiniTIN ushachukua unawaandikia TRA barua mapema kuwaeleza hujapata faida bado,vinginevyo wanakupiga penalty,so unatoa taarifa mapema
Utakapoanza kupata faida,kampuni inakuwa charged corporate tax ya 30%,inayobaki (profit after tax) ndo yako
Pia kuna kiwango cha kusajiliwa kama VAT trader,yani unakuwa unaikusanyia serikali VAT,hapa ni biashara ikikua hadi kufikia turnover ya 40 mil KWA MIEZ 3,au 10m kwa mwezi kama sikosei,
kama kuna lingine uliza nikiweza nikupe clarification vizuri