Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaha kwani unanionea huruma tena tena we mrembo?
kwasababu mle mwema hutoka mungu sio jfhahahaha kwani unanionea huruma tena tena we mrembo?
itabidi uanzishwe utaratibu wa jf members kupeana kipaumbele kwenye ndoa,mie nipo single pia natafuta mrembo toka jf.ashadii wanisaidiaje!
Najua kaka but pia ukumbuke kwamba katika maisha lazima uwe na plan hata kama haitatimia basi hayo ni matokeo but you have to work to meet your plankwasababu mle mwema hutoka mungu sio jf
ukisoma moja ya aina saba za kuishi ufanikiwe mojapo kujifunza kuwa msiri ...mkuu nina ushahidi wa watu wanne waliotangaza ndoa zao siku tar fulani wakishia kuwa mabachela na miaka 40=43
sipendi kusema nakulaani bali nakuonya omba hekima huyo ni mkewaako wa milele unless umepanga kuwanae kwa shift
Maneno yako mazito sana we binti i see, but ngoja niongeze kwamba sitaingia choo cha kikeNajua kumpata the love of your life yaweza chukua a moment... But with time line kama yako waweza jiingiza pasipo penyewe sababu tu ufikishe mipango...
Itabidi uanzishwe utaratibu wa JF members kupeana kipaumbele kwenye ndoa,mie nipo single pia natafuta mrembo toka JF.Ashadii wanisaidiaje!
Maneno yako mazito sana we binti i see, but ngoja niongeze kwamba sitaingia choo cha kike