Nataka kufuga ndege tausi

hao ndo wale ndege tulo zuiwa kuwafuga majumbani ila kanga ndo tunafuga tu
 
[QUOTEm5, post: 16767472, member: 196493"]Wapo wengi tu pale jengo jeupe![/QUOTE]
wengi wameshapandishwa ndege
 
Huwa wanatoka, huwa wanaonekana viunga vya jirani na pale, Ila usisubuthu kumhujumu, utajikuta upo chini ya MIKONO SALAMA.
Ina maana wanalindwa kama bosi pia; nilitaka kamata mmoja siku moja nikajilie supu baada ya kuambiwa supu yake inaongeza nguvu za nanniii
 
Back
Top Bottom