Huwa wanatoka, huwa wanaonekana viunga vya jirani na pale, Ila usisubuthu kumhujumu, utajikuta upo chini ya MIKONO SALAMA.Ivi pale jengo jeupe huwa hawarukagi kutoka nje hawa ndege,
mbona hata mitaa ya ohio pale kama unateremsha gym khana wapo tele tu tena kwenye miti,huwaga sijui ni wa nani maeneo yale maana wamezagaa..Hivi mtu wa kawaida haruhusiwi kufuga?
Dama, Mjuba, Mzee Kasri, Kilonzo.... Aunt Viv, etc"Tausi ni ndege wangu ndege wangu wa fahari ndege ..... Dah umenikumbusha mbali mkuu!
Sio salama wenyewe wanasema NGUVUNI!Huwa wanatoka, huwa wanaonekana viunga vya jirani na pale, Ila usisubuthu kumhujumu, utajikuta upo chini ya MIKONO SALAMA.
Aaaah. Aaaah.Aaaah. Aaaah. Aaaah.Sio salama wenyewe wanasema NGUVUNI!
Hivi ile mchezo uliokuwa ukioneshwa runingani kupitia ITV haupatikani mtandaoni? Nimekumbuka hicho kibwagizo."Tausi ni ndege wangu ndege wangu wa fahari ndege ..... Dah umenikumbusha mbali mkuu!
Wanafika huko na kisha kurudi au?wanafika mpaka oysterbay na masaki! wako wengi sana siku hizi! ni ndege wa neema na utajiri!
Watakuwa ni ndege wa serikali. Hao ni kama twiga tu, ukikutwa nao lazima uwekwe nyuma ya nondo.mbona hata mitaa ya ohio pale kama unateremsha gym khana wapo tele tu tena kwenye miti,huwaga sijui ni wa nani maeneo yale maana wamezagaa..
Hivi mtu wa kawaida haruhusiwi kufuga?
Anamaanisha yeye si mtu wa kawaida. Ngoja aje atuonyeshe utofauti wake na akina sieHakuna mtu wa kawaida hapa duniani wote ni sawa
Mimi huwa nawaona wamo ndani tu nadhani huwa hawatoki nje. Kunguru ndo hutoka nje.Ivi pale jengo jeupe huwa hawarukagi kutoka nje hawa ndege,
Ina maana wanalindwa kama bosi pia; nilitaka kamata mmoja siku moja nikajilie supu baada ya kuambiwa supu yake inaongeza nguvu za nanniiiHuwa wanatoka, huwa wanaonekana viunga vya jirani na pale, Ila usisubuthu kumhujumu, utajikuta upo chini ya MIKONO SALAMA.
asa huo ukawaida si ndio usawa wenyewe au? ngachoka!Hakuna mtu wa kawaida hapa duniani wote ni sawa
Wengine wanarudiWanafika huko na kisha kurudi au?