Nataka kufanya online shopping

Paje

JF-Expert Member
Apr 24, 2010
1,185
455
NAOMBA msaada nahitaji kuweza kufanya online shopping isiyozidi dola 50 au elfu 50 kwa mwezi, nipo hapa dar, jee nitumie njia gani? ni bank gani inayotoa credit card kwa kirahisi. bila ya kuwa na balance kubwa? au nitumi njia gani? msaada wowote au maoni yanakaribishwa.
 
Umeuliza swali zuri,mimi huwa nanunua lakini napenda kusikia majibu ya wataalamu zaidi.
Halafu kwanini umekazia kununua bila kuzidi pesa hiyo.?.
 
Umeuliza swali zuri,mimi huwa nanunua lakini napenda kusikia majibu ya wataalamu zaidi.
Halafu kwanini umekazia kununua bila kuzidi pesa hiyo.?.
sasa si ungelinijibu unatumia kadi gani au njia unayotumia? lengo la kutaja kiwango ni kueleza kuwa sihitaji account yenye hela nyingi online. bila shaka hiyo inakuwa kama hakiba ya mfukoni tu , mwaka mzima labda nitatumia si zaidi ya mara 5.
 
  • Thanks
Reactions: Ami
najua kuna mpaka nmb na mabenki kibao. jambo ninalouliza ni bank gani ina procedure laini au nyepesi na nafuu. na zikoje hizo procedure
Sikiliza Paje!. Kununua online unahitaji kuwa na credit card.Hawa CRDB wanatoa credit card zinazowezesha hivyo.Hata hivyo tangu wabadili na kutoa mastercard ni bure kabisa.Jaribu hiyo ya City bank na bank nyenginezo.
Pamoja na hivyo biashara online fanya na kampuni unayoiamini kwamba baada ya kununua mara ya kwanza hawatokuibia.Hii ni kwa vile unaponunua inabidi utoe taarifa zote za kadi yako ambazo wataendelea kubaki nazo.Wakiwa wevi wanaweza kukuuzia hewa wakachukua pesa yako.Uzuri wa CRDB ni kuwa kutumia credit card zao online ni lazima ujaze mkataba fulani wa muda mfupi ambao ili kukulinda na wizi kila baada ya muda wanazifungia hizo kadi mpaka uombe tena.
 
Kuna program kama spiders, Crawlers zinaweza kuaccess account yako bana so ucjarib kabisa.
 
Waungwana Card zipo za aina Mbili
  1. Debit Card
  2. Credit card
Sasa hizo zinaweza kuwa either Visa, MasterCard, Discover, American-express etc, so kadi yeyote ambayo ni Debit/Credit napia kwa chini ikakuonesha kuwa ni Visa,MasterCard n.k ina weza kufanya online payment.

Issue ya kuibiwa online ipo sana lakini isikufanye uogope, kwa sababu huku sehem zingine bila online payments maisha hayaendi, so unatakiwa kufanya biashara na trusted sites kama Amazon, ebay, Airlines, Hotels,Brands zote kama nike, addidas n.k hyo ina tegemea na mahitaji yako. Atleast ukifanaya biashara na hizi campuni unakuwa na uhakika wa mkubwa sana kuwa taarifa zako zitakuwa safe.

Kuna option nyingine ya kutumia paypal, hapa unatoa taarifa zako za card kwa paypal tu, sehem zingine unanunua kwa kutumia account ya paypal ambayo ni email address yako na password tu , CRDB visa card inaweza kutumika kwa paypal vizuri kabisa. japo si wauzaji wote online wanatumia paypal, ebay wanatumia paypal vizuri kabisa na ninauhakika mahitaji yako mengi kama syo yote yatakuwepo ebay.com so jaribu paypal.com

Kila la Kheri
 
Kuna program kama spiders, Crawlers zinaweza kuaccess account yako bana so ucjarib kabisa.
Lengo la hizo program syo ku access account ya mtu so usimtishe mwenzio, Billionaires wanafanya online business sembuse sisi wenye change
 
  • Thanks
Reactions: Ami
Lengo la hizo program syo ku access account ya mtu so usimtishe mwenzio, Billionaires wanafanya online business sembuse sisi wenye change

SIO kama namtisha ila namkumbusha kam kuna hiki pia mzee maana kila ki2 kina faida na hasara mkuu.
 
sawa najua risk zote NA nashukuru kwa all advice and warnings, kwa hiyo benk pekee inayofaa ni CRDB tu kwa hapa DAR juu ya jambo hilo? ambaye ameshawahi kufanya hii kitu atupe details please
 
wakuu yani internet ndio solution ya matatizo yote mana bongo vi2 vimekuwa bei kubwa mno lasivyo utaumia tu.. kuwa mjanja
 
ila cha maana uwe tu na mtu ambaye atakuja na hicho kitu chako lasivyo tra watakuua kwenye kodi bado carriers nao wanacharge hela kibao kwenye usafirishaji
 
Back
Top Bottom