Habari zenu,wakuu.
Ninampango wa kufanya biashara ya kutengeneza matangazo ya biashara,ya picha na sauti...ninaipenda sana hii biashara.
Ninaomba mawazo yenu,....nianzie wapi.naitaji nianze na nini haswa,inalipa kiasi gani,na wateja wakubwa ni nani?
Ninampango wa kufanya biashara ya kutengeneza matangazo ya biashara,ya picha na sauti...ninaipenda sana hii biashara.
Ninaomba mawazo yenu,....nianzie wapi.naitaji nianze na nini haswa,inalipa kiasi gani,na wateja wakubwa ni nani?