M mpembasafi Member Jan 20, 2012 6 0 Jul 15, 2012 #1 eti wajameni information technology ngazi za cheti hua wanataka uwe na credit ngp za form 4
bornagain JF-Expert Member Jan 25, 2012 3,383 1,354 Jul 16, 2012 #2 Kwa University Computing Center kama una credit zako 3 za Olevel unapata admission but sijui vyuo vingine sasa.
Kwa University Computing Center kama una credit zako 3 za Olevel unapata admission but sijui vyuo vingine sasa.
S Spear_ JF-Expert Member Dec 29, 2010 1,603 486 Jul 16, 2012 #3 Kwa Certificate sidhani kama huwa wanaangalia sana Credits wanaangalia uwezo wako tu, ila kwa Diploma (NTA 6) ni lazima......
Kwa Certificate sidhani kama huwa wanaangalia sana Credits wanaangalia uwezo wako tu, ila kwa Diploma (NTA 6) ni lazima......