CPU
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 3,863
- 686
Acha abaki nalo love!Here comes another MWUAHHH!MWUAHHH!MWUUAAHHHH!
Sijui nikupe nini mpenzi kwa jinsi ulivyo mtamu
Acha abaki nalo love!Here comes another MWUAHHH!MWUAHHH!MWUUAAHHHH!
mtafutie MAJI ya LOLIONDOSijui nikupe nini mpenzi kwa jinsi ulivyo mtamu
khaaa!Asante hubby kwa kunijua na kuniamini!Kloro anaona wivu maana hajawahi kupendwa!
sawa bana mungu atanilipia, najua unanionea kwasababu nina kitambi.Kwani uwongo?
ukiacha hizo kitu haupati ubunge sku hizi. acha nitimize malengo kwanza. hivi uporoto asharudi loliondo?Mara ngapi nimekwambia upunguze bia na nyama choma ukakataa?
ukiacha hizo kitu haupati ubunge sku hizi. acha nitimize malengo kwanza. hivi uporoto asharudi loliondo?
ukiacha hizo kitu haupati ubunge sku hizi. acha nitimize malengo kwanza. hivi uporoto asharudi loliondo?
Hahaha! siendi Loliondo mimi huwa situmii dawa za mitishamba dawa zangu za hospitali tu.Basi na kupendwa mpaka uzeeke...that is kama kuna mtu anataka mzee tena mwenye kitambi!Mmh bado anaoga dawa siku tatu kabla ya kuondoka!
Mmmh ntakwambia baadae tukienda kulala!
Asante kwa hilo mana nilijikuta nacheka siku nzima, kumbe kuna watu wana tu zoom tu.Hello
Nilikuwepo mpaka dk za mwisho
HuhAsante kwa hilo mana nilijikuta nacheka siku nzima, kumbe kuna watu wana tu zoom tu.
Ingawa kuna umuhimu wa ku seal our conversation and I hope time is now,
Au we unaonaje.