Mkuu niliacha kazi 7 years a go kusimamia biashara yangu na sikuwa na willing ya my wife and my mother, but I decided it. Ni ngumu kwa kiasi fulani kwani 3 months down the line mambo yaliharika sana baada ya kuugua na vijana niliowaajiri kunichakachua. Sikukata tamaa nilipigana kiume na ninavyo andika niko napambana na my wife ameamua kujoin the boat from last year. Hivyo karibu sana mzee uwanjani pambana na utafanikiwa. Kwa taarifa tu nilipoamua kuacha my gross salary it was aroung 6.7m
"Uoga wako ndio umaskini wako!!" - Kanyagio (JF Senior Expert Member)