Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
huu jamaa kaniudhi
huu jamaa kaniudhi
huu jamaa kaniudhi
kwa nini ana m pm mtoto wanguJamaa gani?
kwa nini ana m pm mtoto wangu
wakwe hapa ni miyeyusho..kuna mdada juzi alikuja na uzi wake hapa alikuwa anaingizwa chaka..kapewa mapenzi motot moto mawasiliano kwa sana kumbe jamaa lina mtu wake lilikuwa linataka kummega ,dada wa watukwani hautaki wakwe??????????
wa kike..wa kiume nisingekuwa na wasi wasiMwanao wa kike au wakiume
Lol, sitaki kuamini kuwa wewe ni mbaba na una mtoto mkubwa wa kuweza kujiunga jf na kutumiwa PM...kwa nini ana m pm mtoto wangu
aa kongosho niambie mwenyewe nianze lini ku unlike like zangu?jamani, uki-unlike utakuwa umenionea sana
kalianza kenyewe uchokozi
mie nikaamua kumaliza mchezo
kangeniona kiazi
sweetylady kuwa na mtoto sio lazima umzae mwenyewe hata mtoto wa dada kaka yangu ni mwanangu jamanilol, sitaki kuamini kuwa wewe ni mbaba na una mtoto mkubwa wa kuweza kujiunga jf na kutumiwa pm...
Sasa uki unlike ndio ataacha kumpm?.. Ungemwendea ukamchana live bila chenga, umkanye aache.
afro d hujambo?Ivuga kuna ni tena??
Ok, nimekuelewa mtakatifu Ivuga! Sasa hebu chukua hatua madhubuti kumdhibiti huyo mjamaa. Usiishie ku unlike peke yake!sweetylady kuwa na mtoto sio lazima umzae mwenyewe hata mtoto wa dada kaka yangu ni mwanangu jamani
aa kongosho niambie mwenyewe nianze lini ku unlike like zangu?
Asiejua maana usimwambie maana! mkuu tuko pamoja chomoa "like" zako zote, asikuone kilaza huku anakuharibia huku we unamfurahia.sweetylady kuwa na mtoto sio lazima umzae mwenyewe hata mtoto wa dada kaka yangu ni mwanangu jamani