mshahara wowote ule,,,,,
Mkuu Hapo kwenye Blue mimi nahitaji Machine ya Kuchapisha Noti... na Machine ya Kutuma msg kisha mpokeaji aone katuma Kiongozi wa CDM...Kwa yeyote anayehitaji MACHINE ya aina yeyote ile, tuwasiliane hapa hapa JF nitampa mwongozo wa jinsi ya kunipata au kuipata, (nitampigia)