Mpita Njia
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 6,997
- 1,163
Simpo, ukijiunga upinzani sasa hivi utakuwa na kazi ya kuwabadilisha. Ukishafanikiwa kuwabadilisha utakuwa na kazi nyingine ya kuibadilisha CCM. Utakuwa umezunguka sana na kuifanya kazi maba 2. Ukijimwaga CCM moja kwa moja unakuwa na zi moja tu, kuwabadilisha wao, kwishaKwa nini usubiri vibadilike na usiungane nao kuwabadilisha na badala yake unajiunga na CCM unayoita ovyo kuibadilisha. Unasema unawafuata NAPE, JERRY na vijana wengine machachari - hawa wamefanikiwa nini cha kujivunia ndani ya CCM.