Jumakidogo
R I P
- Jul 16, 2009
- 1,851
- 417
Nataka haraka, mwanake mtu mzima anayenizidi umri. Kuanzia miaka 42 mpk 50. Naona vitoto vinanizingua tu.
nina 34wewe una miaka mingapi....?
Unajua sitanii, cheki namba. Nimeku PM.Toa namba yako nikutwangie
kwani wewe preta unataka wa miaka mingapi?...mimi nina miaka 56wewe una miaka mingapi....?
No, nataka mtu aliyepevuka ki akili hta mkikaa mnapiga stori mnaongea mambo ya maana.punguza jazba...............unataka ku fly kabla hujajua kutambaaa.....komaa nao upate kisipirienzi dogo!
Nataka haraka, mwanake mtu mzima anayenizidi umri. Kuanzia miaka 42 mpk 50. Naona vitoto vinanizingua tu.
Nataka haraka, mwanake mtu mzima anayenizidi umri. Kuanzia miaka 42 mpk 50. Naona vitoto vinanizingua tu.
No, nataka mtu aliyepevuka ki akili hta mkikaa mnapiga stori mnaongea mambo ya maana.
Nataka haraka, mwanake mtu mzima anayenizidi umri. Kuanzia miaka 42 mpk 50. Naona vitoto vinanizingua tu.
Overage watamu bana, ukimpata muelewa najituma mpaka basi tena tehe tehe tehe tehe. Kila la kheri lakini usiwe paka mapepe ukishapata overage unaanza kutafuta dogo dogo![/QUOTE]
hapo kwenye blue ndio taabu
Nataka haraka, mwanake mtu mzima anayenizidi umri. Kuanzia miaka 42 mpk 50. Naona vitoto vinanizingua tu.
Unamtaka haraka kwa madhumuni gani? KUOA, KUOLEWA au KUBANJUA TU NA KUPITA???Nataka haraka, mwanake mtu mzima anayenizidi umri. Kuanzia miaka 42 mpk 50. Naona vitoto vinanizingua tu.