Kottler Masoko
Senior Member
- May 28, 2010
- 193
- 28
Natafuta gari ndogo used such as GX100,VITZ etc ya kufanyia kazi za ofisini kama kwenda bank,ktk ofisi za makampuni,na mizunguko ya katikati ya mjini hapa Morogoro town,Itatumiwa na Accountant wetu.
Budget ni Tsh 300,000/= Month na nitaweka mafuta na maintanance ndogo nitafanya pia. Tuwasiliane kma utakubali pia kuuza after 6months kwa hire purchase.
NB:
NATAKA GARI ILIYOKUWA IMELIPIWA KILA KITU NA HAINA MATATIZO YA KIUFUNDI.:israel:
KAMA HAUNA GARI USIJIBU HILI TANGAZO,maana wengine wataleta kejeli na kinaya zao hapa.:hand:
Budget ni Tsh 300,000/= Month na nitaweka mafuta na maintanance ndogo nitafanya pia. Tuwasiliane kma utakubali pia kuuza after 6months kwa hire purchase.
NB:
NATAKA GARI ILIYOKUWA IMELIPIWA KILA KITU NA HAINA MATATIZO YA KIUFUNDI.:israel:
KAMA HAUNA GARI USIJIBU HILI TANGAZO,maana wengine wataleta kejeli na kinaya zao hapa.:hand:
Last edited by a moderator: