Nataka gari ya kukodi/car for rent au ya kununua kwa hire purchase.

Kottler Masoko

Senior Member
May 28, 2010
193
28
Natafuta gari ndogo used such as GX100,VITZ etc ya kufanyia kazi za ofisini kama kwenda bank,ktk ofisi za makampuni,na mizunguko ya katikati ya mjini hapa Morogoro town,Itatumiwa na Accountant wetu.
Budget ni Tsh 300,000/= Month na nitaweka mafuta na maintanance ndogo nitafanya pia. Tuwasiliane kma utakubali pia kuuza after 6months kwa hire purchase.

NB:
NATAKA GARI ILIYOKUWA IMELIPIWA KILA KITU NA HAINA MATATIZO YA KIUFUNDI.:israel:

KAMA HAUNA GARI USIJIBU HILI TANGAZO,maana wengine wataleta kejeli na kinaya zao hapa.:hand:
 
Last edited by a moderator:
Wewe unataka gari kweli??au umekuja ku showup kama unataka kukodi gari??mimi ninayo Toyota GX110 lakini kwa bei hiyo nibora nipige nayo misere ila kama unataka kununua...tuongee bei..lakini naona hatakununua kama hautaweza!wewe unataka kukodi gari kwa 10000??kutwa!
 
budget ni hiyo ten per day,mia3 per month. lete idea zako tu-negotiate na siyo kejeli. siwezi kujishow hapa Jf ambako huoni hata sura ya mtu. kama huna cha kuchangia we potezea na wenye good terms wataongea na mimi.
 
bugdet ni hiyo ten per day,mia3 per month. lete idea zako tu-negotiate na siyo kejeli. siwezi kujishow hapa Jf ambako huoni hata sura ya mtu. kama huna cha kuchangia we potezea na wenye good terms wataongea na mimi.

mimi Nina starlet last kama upo tayari kwa 20,000 aday poa chini ya hapo sipo tayari
 
mimi Nina starlet last kama upo tayari kwa 20,000 aday poa chini ya hapo sipo tayari

Asante Mkuu,Maboss wangu niliwapa Tsh 30,000 per day wakaenda kuuliza dereva wa Tax hua anapeleka ngapi kwa Mwenye Gari na analysis yao ikaleta hiyo ni Tsh 10,000 per day so hata niongeze 100 hawatakubali.

Mwenye gari anayeweza hilo dau anicontact kwa PM.
 
Asante Mkuu,Maboss wangu niliwapa Tsh 30,000 per day wakaenda kuuliza dereva wa Tax hua anapeleka ngapi kwa Mwenye Gari na analysis yao ikaleta hiyo ni Tsh 10,000 per day so hata niongeze 100 hawatakubali.

Kama bei mnalipa ya taxi waonaje mkodi taxi kwa siku! Often kuna hidden costs na pia dreva taxi anarudusha gari daily lkwa tajiri ila inaonesha nyie ni 27/7. Mkijipanga mtapata gari faster hata mi naweza kuwapa moja.
 
Kama bei mnalipa ya taxi waonaje mkodi taxi kwa siku! Often kuna hidden costs na pia dreva taxi anarudusha gari daily lkwa tajiri ila inaonesha nyie ni 27/7. Mkijipanga mtapata gari faster hata mi naweza kuwapa moja.

Hebu ni-pm mkuu na namba yako tuongee....
 
Unataka gari isiyokuwa na matatizo, maana yake imelipiwa registration na comprehensive insurance, Hapo tu unazungumzia sh. laki 6, ambazo ni sawa na pesa unayotaka kulipa kwa miezi miwili!
Unasema utafanya minor repairs and services, ina maana major repairs hutafanya at the same time unataka gari iliyo kwenye hali nzuri, which means kwamba uiharibu wewe lakini usiwajibike kuitengeneza!!!
Gari unataka kukodi sh. elfu 10 kwa siku wakati pikiiki kwa siku ni sh. elfu 7!!
hao maboss wako waulize hizo taxi walizouliza za sh. elfu kumi ziko katika hali unayoizungumzia hapa? taxi zina kutu na kila shimo unalisikia halafu unafananisha na gari iliyo kwenye hali nzuri!!!
Kama ni rahisi kupata taxi kwa sh. elfu kumi si umfuate mmiliki mmojawapo wa taxi uikodishe?

Mwisho kabisa::: Ukianzisha thread hapa usiwaambie watu hawaruhusiwi kucomment, huna mamlaka hiyo. Ukshaiweka hapa thread inakuwa ya JF. watu washaumiza macho yao kusoma thread halafu unataka kuwaamulia kama wacomment au lah!!! chunga sana kijana...
 
Unataka gari isiyokuwa na matatizo, maana yake imelipiwa registration na comprehensive insurance, Hapo tu unazungumzia sh. laki 6, ambazo ni sawa na pesa unayotaka kulipa kwa miezi miwili!
Unasema utafanya minor repairs and services, ina maana major repairs hutafanya at the same time unataka gari iliyo kwenye hali nzuri, which means kwamba uiharibu wewe lakini usiwajibike kuitengeneza!!!
Gari unataka kukodi sh. elfu 10 kwa siku wakati pikiiki kwa siku ni sh. elfu 7!!
hao maboss wako waulize hizo taxi walizouliza za sh. elfu kumi ziko katika hali unayoizungumzia hapa? taxi zina kutu na kila shimo unalisikia halafu unafananisha na gari iliyo kwenye hali nzuri!!!
Kama ni rahisi kupata taxi kwa sh. elfu kumi si umfuate mmiliki mmojawapo wa taxi uikodishe?

Mwisho kabisa::: Ukianzisha thread hapa usiwaambie watu hawaruhusiwi kucomment, huna mamlaka hiyo. Ukshaiweka hapa thread inakuwa ya JF. watu washaumiza macho yao kusoma thread halafu unataka kuwaamulia kama wacomment au lah!!! chunga sana kijana...

Sasa hapo mkuu ndo umenisaidiaje?
Acha kuropoka ropoka,hakuna aliyekuzuia kucomment hapa.
suala ni kwamba wengi wenu mnadhania kumdhihaki mtu anapoweka thread JF ndo kuchangia,me nimetaka hapa uwe positive na kama u think negative basi haina haja we potezea tuu hii thread cuz hutakia Kujenga hoja za msingi (kama ulivopiga hizo calculations),Business Hailipi Kwako basi Inalipa Kwa Wenzako,siyo lazima wote tuuze nyanya kariakoo,kuna watakauza hadi Masalo.

Ni sawa nimeanza kuapproach watu wa taxi na nimepata pia jamaa toka hapa JF anayo noah mpya na amekaribisha negotiation zaidi na i hope itakua material cuz he has shown all interests za kufanya biashara.
Acheni mbwembwe ni hizo vyeo zenu za JF EXPERT MEMBER ukajiona ndo unajua kila kitu....mnatuharibia jamvi hili kwa hizo NEGATIVE comment zenu kila mara. :A S angry:
 
Sasa hapo mkuu ndo umenisaidiaje?
Acha kuropoka ropoka,hakuna aliyekuzuia kucomment hapa.
suala ni kwamba wengi wenu mnadhania kumdhihaki mtu anapoweka thread JF ndo kuchangia,me nimetaka hapa uwe positive na kama u think negative basi haina haja we potezea tuu hii thread cuz hutakia Kujenga hoja za msingi (kama ulivopiga hizo calculations),Business Hailipi Kwako basi Inalipa Kwa Wenzako,siyo lazima wote tuuze nyanya kariakoo,kuna watakauza hadi Masalo.

Ni sawa nimeanza kuapproach watu wa taxi na nimepata pia jamaa toka hapa JF anayo noah mpya na amekaribisha negotiation zaidi na i hope itakua material cuz he has shown all interests za kufanya biashara.
Acheni mbwembwe ni hizo vyeo zenu za JF EXPERT MEMBER ukajiona ndo unajua kila kitu....mnatuharibia jamvi hili kwa hizo NEGATIVE comment zenu kila mara. :A S angry:

Nimekusaidia kujua kuwa huwezi kuchota maji kwa gunia...
 
Asante Mkuu,Maboss wangu niliwapa Tsh 30,000 per day wakaenda kuuliza dereva wa Tax hua anapeleka ngapi kwa Mwenye Gari na analysis yao ikaleta hiyo ni Tsh 10,000 per day so hata niongeze 100 hawatakubali.

Mwenye gari anayeweza hilo dau anicontact kwa PM.


dereva taxi ni tofauti, control ya gari badi iko kwa owner, hapa ni kwamba nakupa gari yangu, unakaa nayo 24/7.

just to give you an idea ukienda kwa kampuni ya kukodi magari kama utataka kujiendesha unalipa zaidi kuliko kama unaendeshwa, why? ukijiendesha risk kubwa kwao, pia kwa muda wote unaokua umekodi gari unaishi nayo kwako.
 
Mwisho kabisa::: Ukianzisha thread hapa usiwaambie watu hawaruhusiwi kucomment, huna mamlaka hiyo. Ukshaiweka hapa thread inakuwa ya JF. watu washaumiza macho yao kusoma thread halafu unataka kuwaamulia kama wacomment au lah!!! chunga sana kijana...

Ni kweli lakini hapo kweli red umekua mkali sana swahiba!
 
Sasa hapo mkuu ndo umenisaidiaje?
Acha kuropoka ropoka,hakuna aliyekuzuia kucomment hapa.
suala ni kwamba wengi wenu mnadhania kumdhihaki mtu anapoweka thread JF ndo kuchangia,me nimetaka hapa uwe positive na kama u think negative basi haina haja we potezea tuu hii thread cuz hutakia Kujenga hoja za msingi (kama ulivopiga hizo calculations),Business Hailipi Kwako basi Inalipa Kwa Wenzako,siyo lazima wote tuuze nyanya kariakoo,kuna watakauza hadi Masalo.

Ni sawa nimeanza kuapproach watu wa taxi na nimepata pia jamaa toka hapa JF anayo noah mpya na amekaribisha negotiation zaidi na i hope itakua material cuz he has shown all interests za kufanya biashara.
Acheni mbwembwe ni hizo vyeo zenu za JF EXPERT MEMBER ukajiona ndo unajua kila kitu....mnatuharibia jamvi hili kwa hizo NEGATIVE comment zenu kila mara. :A S angry:
Kwahiyo tunaouza Nyanya tusiongee hata kama umetoa note mbovu??Kwa hiyo hapa unacho pigania ni cheo cha JF siyo mada yako??Wewe huyo uliye mpata wa Noha njaa imemkaba Kooni!Shilingi 10000,kwa siku??Kweli huyo alipata mkopo akanunua gari sasa anashindwa kuirun...Hongera kwakupata gari lakini hapa JF ukiweka ushuzi tutakubackoff!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom