Ibrahim K. Chiki
JF-Expert Member
- Apr 5, 2011
- 594
- 163
Wadau, nimebahatika kudunduliza kidogo nilichokua napata na kufikia kias flani, hivyo natafuta gari ya kununua aina ya starlet...iwe katika hali nzuri. Nashukuru.
kuna mshkaji wangu yupo dar anauza starlet.Wadau, nimebahatika kudunduliza kidogo nilichokua napata na kufikia kias flani, hivyo natafuta gari ya kununua aina ya starlet...iwe katika hali nzuri. Nashukuru.
kuna mshkaji wangu yupo dar anauza starlet.
kama upo siriaz pm nikupe contact zake mpatane bei mwana.