JF Marketer
Member
- Jan 3, 2009
- 80
- 34
Ninataka kuchukua kozi ya masoko inayotambulika ulimwenguni katika ngazi ya Uzamili kwa njia ya masafa. Nimepata Kituo kinachoendesha masoma haya kutoka Kenya.
Kwa ujumbe huu, ninawaalika watu/mtu makini anayemaanisha kweli na kujituma kwa dhati kujiendeleza kitaaluma ajiunge nami ili tushirikiane katika kusaka elimu hii. Elimu ya masafa si mkate wa siagi. Inahitaji adabu na utiifu mkuu katika matumizi ya muda. Hii lazima itoke ndani ya nafsi ya mhusika maana hakuna wa kukushurutisha.
Mimi niko Dar na muda wangu wa kusoma ni kuanzia saa 11 Jioni. Pia naweza kusoma katika siku za mwisho wa wiki. Kama upo tayari kujiunga nami basi tuwasiliane:
View attachment Post-Graduate Fee's breakdown-1.pdf
Barua pepe: upegra@gmail.com
Kwa ujumbe huu, ninawaalika watu/mtu makini anayemaanisha kweli na kujituma kwa dhati kujiendeleza kitaaluma ajiunge nami ili tushirikiane katika kusaka elimu hii. Elimu ya masafa si mkate wa siagi. Inahitaji adabu na utiifu mkuu katika matumizi ya muda. Hii lazima itoke ndani ya nafsi ya mhusika maana hakuna wa kukushurutisha.
Mimi niko Dar na muda wangu wa kusoma ni kuanzia saa 11 Jioni. Pia naweza kusoma katika siku za mwisho wa wiki. Kama upo tayari kujiunga nami basi tuwasiliane:
View attachment Post-Graduate Fee's breakdown-1.pdf
Barua pepe: upegra@gmail.com