Country Code
Member
- Apr 21, 2016
- 5
- 2
Habari zenu wana JF?
Natafuta marafiki wakuchati nao, waliokomaa kiakili.
Kama wewe ni KE ruksa kuja PM
Natafuta marafiki wakuchati nao, waliokomaa kiakili.
Kama wewe ni KE ruksa kuja PM
Ok! Maji ya kunde in color,nina umri wa miaka 31, sio mrefu sana wala sio mfupi nko wastaniUngeambatanisha na sifa zako
1. Kabila?Ok! Maji ya kunde in color,nina umri wa miaka 31, sio mrefu sana wala sio mfupi nko wastani
Naishi na kufanya kazi Dar.
Wokeey... Basi watakuja,hope ushaanza kupata jam huko pm1. Sambaa from Lushoto - tanga
2. Cjaoa ila nna mtoto
3. Diploma in Multimedia
4. Hobby yangu ni kufanya design, Music especial hiphop
5. Mwenye umri kwanzia 25 - 100yrs, asiwe mfupi, wastani kwa umbo sio mnene sana
wala mwembamba sana, anaejitambua, mwenye mawazo productive
Maswali yoote uliomuuliza nikajua umevutiwa kumbe.....Wokeey... Basi watakuja,hope ushaanza kupata jam huko pm
Niliuliza kwa niabaMaswali yoote uliomuuliza nikajua umevutiwa kumbe.....
Kweli wee wakalaNiliuliza kwa niaba
Ha haaaKweli wee wakala
Tukutane kwenye lile jukwaa la wazeeHa haaa
Ndio lipi hilo?Tukutane kwenye lile jukwaa la wazee
Ulikuwa hujui unataka mwenye sifa gani, maan bila kuulizwa usingesema. By the way all the best1. Sambaa from Lushoto - tanga
2. Cjaoa ila nna mtoto
3. Diploma in Multimedia
4. Hobby yangu ni kufanya design, Music especial hiphop
5. Mwenye umri kwanzia 25 - 100yrs, asiwe mfupi, wastani kwa umbo sio mnene sana
wala mwembamba sana, anaejitambua, mwenye mawazo productive
Sifa zake ni mwanaume anayejua kusoma na kuandika, yeye hajasema anaomba mke wala anatafuta kazi, bali anataka mwanamke tuu wakuchat naye, na sifa pekee za kuchat ni kusoma na kuandika au vipii?Hilo la kuambatanisha sifa ni lamsingi sana