Mizizi
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 1,275
- 391
Mimi pamoja na familia yangu, tumedhurumiwa ardhi na mwekezaji! Story ilikuwa kama ifuatavyo:
Mama yetu aikuwa na ardhi iliyoanzia barabarani na kwenda umbali wa mita kama 400 hivi hadi kufikia ufukweni. Mwaka 1995 Mwekezaji kutoka australia alikuja na kufanya makubaliano na mama yetu ya kukodoshana eneo.
Baada ya muda huyu mzungu ameweka mawe eneo na anadai ni la kwake ameuziwa na serikali. Kwa sasa mama yetu amefariki na alichotuachia ni karatasi za makubaliano ya kukodishana shamba na mwekezaji na sio kuuza.
Naomba wana jf mnielekeze wakili mkweli na madhubuti ili tupate haki yetu.
Kwani tulishakwenda mabaraza ya ardhi, kwa mkuu wa wilaya lakini kote tumegonga mwamba, jamaa anatoa rushwa na hakuna haki iliyopatikana
Mama yetu aikuwa na ardhi iliyoanzia barabarani na kwenda umbali wa mita kama 400 hivi hadi kufikia ufukweni. Mwaka 1995 Mwekezaji kutoka australia alikuja na kufanya makubaliano na mama yetu ya kukodoshana eneo.
Baada ya muda huyu mzungu ameweka mawe eneo na anadai ni la kwake ameuziwa na serikali. Kwa sasa mama yetu amefariki na alichotuachia ni karatasi za makubaliano ya kukodishana shamba na mwekezaji na sio kuuza.
Naomba wana jf mnielekeze wakili mkweli na madhubuti ili tupate haki yetu.
Kwani tulishakwenda mabaraza ya ardhi, kwa mkuu wa wilaya lakini kote tumegonga mwamba, jamaa anatoa rushwa na hakuna haki iliyopatikana