Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hapo sina la kusema maana sijui!
BY THE WAY, NASIKIA UNAUZA USED BAJAJ
NIUZIE MIMI, NATAFUTA BAJAJ YA KUBEBEA MIZIGO YANGU KUPELEKA DUKANI
UNAYO KWELI? NI PM TUONGEE BEI, lakini iwe nzima na isizidi 2M
nasubiria
POWAAAA!!
Mitarawanda ni nini?
Na viyatu ndio viatu? Au viyatu ni kitu kingine?
Mitarawanda ni nini?
Na viyatu ndio viatu? Au viyatu ni kitu kingine?
Umenikumbusha mbali sana kwani ninakumbuka kwa bibi yangu kwenye mlango wa ****** [nje] ilikuwepo hapo na ilikuwa marufuku kuingia maliwatoni bila mitarawanda.
Kwa Dar sijui ukaulize kwa toti mtaa wa uhuru na sikukuu kama bado yupo [duka la madawa ya kienyeji la miaka zaidi ya 50]
Kama kuna mtu anajuwa (anaelewa) dula linalo uza viatu vya mitarawanda hapa jijini Dar naomba anijulishe .asanteni