mwenye vits tuwasiliane nina mil3 tu......
mm nataka 4.5 ni mpya imetumika kama miezi 4
mm nataka 4.5 ni mpya imetumika kama miezi 4
Anti nikupigie simu ya biashara?
Unauza bei cheee
eeeeh ndo hivyo
vitz zimekuwa deal hapa mujini
huwez pata kwa hiyo bei
aisee zile makitu kwa mufindi wacha kabisa......!sehemu yoyote inayopita bajaji kinapita tu.....!Uzuri zinanusa wese na foleni za town we unakula mufindi
aisee zile makitu kwa mufindi wacha kabisa......!sehemu yoyote inayopita bajaji kinapita tu.....!
ahsanteni sana wajapani
Hahaha Carina Ti my road je haioni ndani?
Nasikia hata masafa marefu unaenda kuna jamaa alitoka TA alitumia saa 4 tu yupo Dar
vitz zimekuwa deal hapa mujini
huwez pata kwa hiyo bei
aisee mi ninaona watu wanachapa nazo maisha tu.....!Vitz lakini si zina matatizo sana kwenye mfumo wake wa electronics au?
Teamo vp hiyo mbege hapo kwenye picha yako? Bado ipo meku?
aisee mi ninaona watu wanachapa nazo maisha tu.....!
kuna vitz zina miaka hapa zimeshakata miaka mitatu na zaidi,watu wamepaki makruza yao
asee meku karibu KILAJI...!aafu mwambie wiselady asinifanyie hivyo