GAMBLER
JF-Expert Member
- Nov 22, 2009
- 303
- 11
Nimetafuta kariakoo kote tyre za gari aina ya suzuki R wagon sikupata,size yake ni 165/55R14, nimepata ambazo kubwa zinagusa body, kuna jamaa wameniambia nikanyanyue bodi ya gari ili niweke hizo kubwa, nina wasiwasi. kama kuna yeyote anayejua wapi naweza kupata hizi tairi anijulishe, au kuna ushauri wowote wa kufanya?