Wandugu habarini za w/end?naishi Arusha nategemea kusafiri na kuelekea Dar kesho,nia na mazumuni ni kutaka kujua wapi haswa nikiwa Dar naweza kupata hizo suruali kwaajili ya wamama wajawazito,zaweza kua z jeans au kitambaa zote nikipata ni sawa.asanteni sana wadau.