Celex elicia lucas
Member
- Jul 18, 2012
- 69
- 25
Habari yenu JF members,
Tunatafuta wateja wa jumla wa samaki wabichi aina ya sato na sangara kutoka Mwanza. Sangara wanaukubwa wa kuanzia 50cm na Sato 25cm. Pia tunatoa na hudumu ya kusafirisha mzigo wa samaki mpaka mahali mteja alipo ndani ya Tanzania na nje ya Tanzania pia kama mteja atapenda.Kwa maelezo zaidi mteja anaweza kuwasiliana na mimi kupitia no.0759302697 au 0784168848
Natanguliza shukrani zangu kwa wote mliosoma tangazo hili,karibuni sana tuwahudumie.
Tunatafuta wateja wa jumla wa samaki wabichi aina ya sato na sangara kutoka Mwanza. Sangara wanaukubwa wa kuanzia 50cm na Sato 25cm. Pia tunatoa na hudumu ya kusafirisha mzigo wa samaki mpaka mahali mteja alipo ndani ya Tanzania na nje ya Tanzania pia kama mteja atapenda.Kwa maelezo zaidi mteja anaweza kuwasiliana na mimi kupitia no.0759302697 au 0784168848
Natanguliza shukrani zangu kwa wote mliosoma tangazo hili,karibuni sana tuwahudumie.