Wadau, Hali inatisha! kijana wa kikwere na kasherehe haya yasio kuwa budgeted wengine tumeanza kilimo kujikamua
Ishu inakuja soko
Navuna ndoo 2 kubwa kila baada ya siku moja, nawauzia watu wa sokoni kwa jumla walaliaji ile mbaya
kwa kifupi sina soko la uhakika wadau naomba ushauri,
Ishu inakuja soko
Navuna ndoo 2 kubwa kila baada ya siku moja, nawauzia watu wa sokoni kwa jumla walaliaji ile mbaya
kwa kifupi sina soko la uhakika wadau naomba ushauri,