mkandarasi
Member
- Sep 16, 2010
- 22
- 11
Ndugu zangu nina mzigo wa asali ambayo haijakorogwa wala kuchanganywa na kitu chochote, ipo lita elfu tatu,ipo kwenye buckets za lita 20, kwa sasa sina nguvu ya kufanya processing au labelling na packing, ninatafuta soko ndani au nje ya nchi jinsi ilivyo, ninaomba msaada kwa yeyote anayeweza kunisaidia japo mawazo.