Natafuta Software ya Ku-Control Internet Shared Connection ya Airtel

tototundu

Senior Member
Jul 29, 2009
198
40
Picture this scenario, Natumia modem ya kasi ya Airtel (3.6 Mbps) nyumbani (ambayo nimei share nyumba nzima kwa kutumia Internet Connection Sharing) kuperuzi hapa na pale, mtoto wangu wa kiume yuko chumbani kwake anadownload movies kwa kutumia utorrent, mtoto wangu wa kike yupo chumbani kwake busy na youtube; bottom line 3GB zangu kwenye modem zinaisha kwa kasi ya ajabu.

Kwa kuwa mimi ndio nakaa na modem so nacontrol connection yenyewe, natafuta software ambayo itaniwezesha ku block bittorrent connections na pia kuzuia video zisi download toka youtube.

Kwa sasa natumia wireshark, lakini hainisaidii sana, ninachoweza kuona ni TCP, UDP na HTTP connections zote zikipita kwenye modem lakini siwezi kuzi block.

Wataalam naomba msaada.
 
si uwanunulie modem zao au udisable network sharing na network discovery! That sim lyk izy option 2 me!
 
@tototundu Tafadhali nifafanulie zaidi.

Je

a) Unatumia usb modem connected to a PC (je ni winxp or win vista or win7 ?) alafu through ICS unashare distribute internet from the PC
(je ethernet port to a wifi router / AP)

AU

b)unatumia wifi router ya Airtel which distibutes directly kwenda computer na laptops kupitia wifi.

B.P
 
si uwanunulie modem zao au udisable network sharing na network discovery! That sim lyk izy option 2 me!

Sina nia ya kuwazuia kuangalia wikipedia, facebook etc, kwa nini kuingilia gharama ya modem nyingi wakati technology inaruhusu sharing
 
@tototundu Tafadhali nifafanulie zaidi.

Je

a) Unatumia usb modem connected to a PC (je ni winxp or win vista or win7 ?) alafu through ICS unashare distribute internet from the PC
(je ethernet port to a wifi router / AP)

AU

b)unatumia wifi router ya Airtel which distibutes directly kwenda computer na laptops kupitia wifi.

B.P

Setup iko hivi,
- Nimeunganisha laptop na Modem ya 3G ya Airtel
- Kutumia ethernet port ya laptop nimeconnect network cable kwenda kwenye 8-port network switch/hub ambayo sasa hawa binadamu wengine wana konnect laptop zao kupitia network cable
 
Sasa mkuu kama hutaki hoa binadamu wengine wadownload, tafuta Proxy software, kwa kutumia hiyo unaweza kublock UDP NA FTP hizo ni port za downloading, mi natumia Analogx Proxy ni ya kizamani lakini nimeizoea, hope zipo nyingine nzuri kabisa, just googlize Proxy
 
Back
Top Bottom