ngosha2011
JF-Expert Member
- Aug 20, 2011
- 681
- 87
Wadau bajeti yangu ts200,000=natafuta simu ya kisasa hata used,iwe inakaa na chaji,haina usumbufu kwenye mambo ya internet na music,nikipata window mobile itakuwa safi sabAbu nimetumia siku nyingi sana